Ni miaka minne imepita toka auwawe aliyekuwa Rais wa Libya kanali Muammar Gaddafi na vikundi vya waasi wa nchi hiyo, Gaddafi alikuwa
kiongozi ambaye ana miliki vitu vya thamani kubwa kama gari la kifahari
lakini alikuwa ana miliki Bastola iliyopambwa kwa dhahabu.
Showing posts with label news. Show all posts
Showing posts with label news. Show all posts
Wednesday, 3 February 2016
Thursday, 21 January 2016
Rais Magufuli ameendelea kufanya uteuzi katika sekta mbalimbali,Na huu ndio uteuzi mpya alioufanya leo.
Alhamisi January 21 2016 ni siku nyingine ambayo Rais Magufuli
kaendelea na moja ya majukumu yake kama Rais wa nchi, jukumu la leo ni
kwamba kaendelea na uteuzi wa viongozi kwenye nafasi mbalimbali, uteuzi
wa leo imelirudisha pia jina la Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mzee Jakaya Mrisho Kikwete.
Thursday, 14 January 2016
Jionee hapa Picha 30 za daraja la Kigamboni linalojengwa juu ya Bahari jijini Dar
Sunday, 4 October 2015
Ujumbe wa Rais wa Marekani Barack Obama baada ya miaka 23 ya ndoa yao
October 3, 1992 Rais wa Marekani Barack Obama na mke wake Michelle walifunga ndoa katika kanisa la Trinity United Church huko Chicago. Marekani.
Wednesday, 3 June 2015
MSICHANA ALIYETOKWA NA MACHOZI BAADA YA KUMWONA RAIS KENYATTA LEO KAKARIBISHWA KABISA IKULU.
Mara ya kwanza msichana huyu jina na picha yake viliingia kwenye Headlines baada ya kuonekana akisalimiana na Rais Kenyatta huku akitokwa machozi.. Kumbe ni RaisKenyatta aliyemwona msichana huyo akitokwa machozi huku akimpungia mkono.. akasimamisha msafara wake na kumsalimia msichana huyo.
Wednesday, 18 March 2015
MAAJABU..MBUZI AZALIWA NA VICHWA VIWILI..JIONEE
Tuesday, 17 March 2015
YULE MSIEMPENDA KAACHIWA HURU..SASA NGUMI ZOTE ULINGONI..
Thursday, 5 March 2015
MVUA YA MASAA MAWILI YALETA MAJANGA MKOANI SHINYANGA,,ZAIDI YA WATU 30 WAPOTEZA MAISHA
Vua
kubwa iliyonyesha usiku wa kiamkia leo imeuwa watu zaidi ya 50 na
wengine zaidi ya 80 kujeruhiwa katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka
wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Tuesday, 3 March 2015
Wimbo wa Marehemu Kapteni Komba Wamliza Rais Kikwete,Ally hassan mwinyi.
Sehemu ya mashairi ya wimbo huo uliokwenda kwa jina la “Nani Yule” ulioimbwa na wanamuziki mbalimbali wa bendi nchini, na kuwatoa watu machozi iliimbwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
“Kapteni Komba familia yako umeiacha na nani, chama chako umekiacha na nani, nenda baba msalimie Mwalimu, mweleze hali ya Watanzania ilivyo hivi sasa, mweleze hali ya nchi yetu ilivyo hivi sasa hasa wakati huu, msalimie Mzee Kawawa Simba wa Vita”
Baadhi ya wanamuziki walioshiriki kuimba wimbo huo ni King Kiki, Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlata, Jose Mara ambaye ni mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu na Luiza Mbutu wa African Stars.
Monday, 2 March 2015
Thursday, 26 February 2015
Breaking News: Chid Benzi Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili Jela au Kulipa Faini ya sh. 900,000
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Haya matano ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Sauti yake kutoka @PB CloudsFM
DC wa Kinondoni, Paul Makonda
Power Breakfast ilikuwa hewani asubuhi
ya leo February 26, mgeni rasmi ambaye alipata nafasi ya kufanya
mahojiano ni Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Paul Makonda ambaye vyombo vya habari vilikuwa na headlines nyingi kuhusu yeye tangu siku ambayo alitangazwa kuwa DC mpya wa Wilaya hiyo.
Hatimaye Kinyesi cha Mwalimu Kilichokuwa Kwenye Chumba Chake Kwa Miezi Kadhaa Chateketezwa
Manispaa ya Temeke leo imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.
Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo. |
Mzee Malecela amekitaka Chama cha Mapinduzi Kumchukulia hatua kali za kinidhamu Lowassa
Maneno aliyosema mwl. Nyerere kuwa IKULU sio pango la walanguzi usikimbilie kwenda IKULU ni mahali patakatifu mtu yeyote anayekimbilia IKULU bila kujiuliza mwogopeni hafai kuwa Rais. Maneno hayo ya mtu kukimbilia IKULU aliyarudia kuyasema Waziri mkuu mstafu mzee John Malecela.
Monday, 16 February 2015
Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji
Kikosi
cha ulinzi wa pwani ya Italia kimesema kimewaokoa zaidi ya wahamiaji
elfu mbili wakisafiri katika maboti katika bahari ya Mediterani-- katika
operesheni kubwa kuliko zote kufanywa kwa wakati mmoja mpaka sasa.
Thursday, 12 February 2015
JIONEE HAPA KICHAPO KILIVYOTEMBEA KATIKA BUNGE LA AFRICA KUSINI...
Wabunge wenzake na Julius Malema wenye nguo nyekundu wakitolewa nje ya Bunge Afrika Kusini jana jioni February 12
Huyu ndo Kiongozi wa Kikundi cha Kigaidi Kinachoua Polisi na Kuiba Silaha Kwenye Vituo Nchini.....Anaitwa Kaisi Bin Abdullah
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!
Tuesday, 3 February 2015
Huyu ndiye aliewekewa mikono ya mtu mwingine..jionee hapa
Subscribe to:
Posts (Atom)







