Kampuni ya Baron Capital imekuwa ikinunua hisa kwa muda sasa na mpaka kufikia jana ilifanikiwa kutimiza 24% ya hisa zote zilizokuwa zikiuzwa na familia ya Glazer, inayomiliki asilimia nyingi kwenye klabu hiyo. Kutokana na ununuzi huo wa hisa, kampuni hiyo sasa inamiliki 2.5% ya klabu ya Manchester United.
Baron Capital imelipa kiasi cha $150million ili kuweza kumiliki hisa 9,581,636.
No comments:
Post a Comment