Meneja wa uendashaji wa Dart Peter Mnuo amesema Huduma hii ya majaribio inategemewa kutolewa December mwaka huu na huduma kamili itaanza kutolewa kuanzia July 2015,wakala wa mabasi hayo yaendayo haraka umekwishaanza maandalizi ya kutoa huduma ya awali ya mabasi makubwa kuanzia Kimara Mwisho hadi Kivukoni ikiwa kama sehemu ya mfumo wa kuanza kutoa huduma.
Monday, 5 May 2014
ZAIDI YA DALADALA 1800 AZITARUHUSIWA KUFANYA SAFARI DAR ES SALAAM BAADA YA MABASI HAYA YAENDAYO KASI KUANZA KAZI
Meneja wa uendashaji wa Dart Peter Mnuo amesema Huduma hii ya majaribio inategemewa kutolewa December mwaka huu na huduma kamili itaanza kutolewa kuanzia July 2015,wakala wa mabasi hayo yaendayo haraka umekwishaanza maandalizi ya kutoa huduma ya awali ya mabasi makubwa kuanzia Kimara Mwisho hadi Kivukoni ikiwa kama sehemu ya mfumo wa kuanza kutoa huduma.
Labels:
news
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment