Monday, 9 December 2013

KENYA YAANZA KUPATA MCHECHETO NA MECHI YA KESHO DHIDI YA KILI STARS.

wanaumeclip_87539.jpg
KENYA imeingia mchecheto na makali ya Kilimanjaro Stars na sasa imebainika kwamba Kocha Adel Amrouche ndiye aliyesisitiza mechi ikachezwe Machakos badala ya Mombasa.
Kenya itacheza na Stars kesho Jumanne kwenye mechi ya nusu fainali ya Chalenji kwenye Uwanja wa Kenyatta mjini Machakos.

MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA.,WATOTO WA HALAIKI WAFANYA KWELI..



jkuhuruRais Jakaya Mrisho Kikwete leo ameongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

BUNGE LA AFRICA KUSINI KUMUENZI MANDELA



Misa ya wafu itafanyika siku ya Jumanne
Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.
Kikao cha leo kinafanyika mwonzoni wa wiki ya shughuli mbali mbali za kumuenzi Mandela kabla ya mazishi yake tarehe 15 Disemba.

Thursday, 5 December 2013

KIKWETE ATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA MANDELA,,,BENDERA ZOTE ZITAPEPEA NUSU MLINGOTI

 
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.. .     Rais wa Tanzania  Jakaya Kikwete.

Tanzania imetangaza siku tatu za maombolezo kuanzia tarehe 6 hadi 8 Desemba, 2013, kufuatia kifo cha rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Rais Jakaya Kikwete wa nchi hiyo pia ameagiza kuwa katika kipindi hicho cha siku tatu bendera zote zitapepea nusu mlingoti.

HUU NDIO MSHAHARA WA WAZIRI MKUU WA TANZANIA,,TOFAUTI KIDOGO NA WA RAIS


news 11 
Waziri Mkuu amedai bungeni muda huu kwamba mshahara wake hauzidi Tsh. 6mil na akadai wanaodai analipwa zaidi ya hapo ni uzushi mkubwa kiasi kwamba yeye ni mkopaji tu katika mabenki na kuwa mshahara huo ni pamoja na mapato ya mkewe.

IFAHAMU HISTORIA FUPI YA RAIS NELSON MANDELA

Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai, mwaka 1918. na alifariki mwaka 2013/Decemba/tarehe 5 Ni rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia nchini AfrikNelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai, mwaka 1918. na alifariki mwaka 2013/Decemba/tarehe 5 Ni rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia nchini Afrika Kusina Kusini

CRISTIANO RONALDO, ASHLEY COLE, PIQUE, LEBRON JAMES WAWONGOZA WANAMICHEZO KUMKUMBUKA HAYATI NELSON MANDELA