Tuesday, 22 July 2014

JAMES RODRIGUEZ APIGA SHOO LA HATARI BERNABEU WAKATI AKITAMBULISHWA.. AKABIDHIWA JEZI NAMBA 10 REAL MADIRD NA

Amesajiliwa: James Rodriguez ametambulishwa Real Madrid leo na kukabidhiwa jezi mamba 10 Uwanja wa Santiago Bernabeu
 MFUNGAJI bora wa Kombe la Dunia, James Rodriguez hatimaye ametambulishwa Real Madrid  baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 60 kutoka Monaco jioni ya leo.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Colombia amesaini mkataba wa miaka sita na Madrid baada ya kufuzu vipimo vya afya asubuhi Santiago Bernabau na kukabidhiwa jezi namba 10.
Rais wa Madrid, Florentino Perez amemkaribisha mshambuliaji huyo akimfananisha na gwiji wa zamani wa klabu hiyo, marehemu Alfredo Di Stefano ambaye pia alijiunga na klabu hiyo akitokea Colombia. 


All smiles: Real Madrid president Florentino Perez (left), Rodriguez (right) and his wife Daniela at presentation
Rais wa Real Madrid, Florentino Perez (kushoto), Rodriguez (kulia) na mkewe Daniela wakati wa kutambulishwa
Skills: Rodriguez showed played up to the crowd with some flicks and tricks out on the pitch
Rodriguez akionyesha uwezo mbele ua maelfu ya mashabiki uwanjani
Control: Rodriguez put on an impressive display for the Madrid fans at the Bernabeu
Control: Rodriguez put on an impressive display for the Madrid fans at the Bernabeu
Rodriguez alionyesha uwezo mkubwa Bernabeu
Taking it down: Rodriguez wore some pink and blue boots during his unveiling
Rodriguez alikonga nyoyo za mashabiki kwa vita hivi

No comments:

Post a Comment