Dili
limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa
ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya
kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku
alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza
mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa
mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
No comments:
Post a Comment