Monday, 8 February 2016

KWA MARA YA KWANZA JIJINI MWANZA LIMEFANYIKA SHINDANO LA (MISS ALBINO MWANZA) NA KUPATIKANA MSHINDI,...JIONEE PICHA HAPA ZAIDI YA 30.

Shindano la miss Albino limefanyika jijini mwanza ili kumpata mwakilishi ambaye atawaiwakilsha mwanza katika shindano la miss Albino Tanzania.

Washiriki wakiingia ukumbi wa Gold Crest   kwa ajili ya kuanza shindano.


Msanii wa Bongo fleva Barnaba akitoa burudani ukumbini huku akifurahia na washiriki wa miss albino


 Kulwa mkwandule ambaye ndiye mwenye jukumu la kuwavalisha miss albino katika mashindano yote Tanzania.
 Warembi pia nao walikuwepo
 Waliofanikiwa kuingia Top 4
 Jaji wa shindano hilo akimtangaza mshindi 
 Wageni




Wanafunzi wakitoa burudani


 Majaji


 Mpiga picha wa 
STARV TV Elbariki Madihi akichukua matukio yote kwa ajili ya kipindi cha Sanaa na urembo.


Mtangazaji wa kipindi cha Sanaa na Urembo  Godlisten Kitomari akiwa Red capeti kwa ajili ya mahojiano na wageni wanaoingia ukumbini..
 Mshindi wa Taji la miss albino Mwanza  Zawadi Dotto (Miaka 17)
 Wageni

 MC  Emanuel  sharali

 Mgeni rasmi katika shindano hilo Katibu tawala wilaya ya nyamagana Marcele Mayala aliyemwakilisha Mkuu wa mkoa wa Mwanza.
 Wageni
 Picha ya pamoja na washindi
 Washiriki wakipita jukwaani
 Mshindi wa kwanza mpaka wa tatu

  Shindano la Miss albino kwa mara ya kwanza limeanza kufanyika mwaka 2015 ambapo mpaka sasa mikoa ya Dar es salaam na Arusha yamekwishafanyika na kupatikana washindi ambao watachuana kumpata mshindi wa MISS ALBINO TANZANIA.


.............Kwa matukio ya Video usikose kutazama kipindi cha Sanaa na urembo Juma Nne ijayo saa 12:30 jioni katika channel ya Star Documetary inayopatikana katika king"amuz cha Continental

Pia waweza nicheku facebook kwa kuandika Godlisten P kitomari na Instagram ni Kitomix_the_one  ili upate habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi.

No comments:

Post a Comment