Thursday, 8 May 2014

VICTORIA KIMANI KUDONDOSHA SINGLE YAKE"PROTOKO" ALIYOFANYA NA DIAMONDA NA OMMY DIMPOZ

Victoria kimani anaewakilisha 254, anatarajia kudondosha single yake mpya siku ya juma tano wiki ijayo.
Single hiyo aliyomshirikisha Diamond na Ommy Dimpoz Prokoto itakuwa ndio single yake inayofata huku uongozi wake ukisema kuwa wimbo huo unaonekana utakuja kufanya vizuri sana Africa na ndio maana wameamua kuuachia sasa hivi.



Prokoto haina maana yoyote bali itakuwa ndio jina la cheza mpya ambayo itaonekana katika video yao

No comments:

Post a Comment