Maisha popote… inavutia kuona ubunifu na
Teknolojia vinatuletea vitu vipyavipya Duniani… Pesa yako ndio inaamua
wapi uishi, wapo wenye nazo ambao watavutiwa kuwa na maisha yao ndani ya
hii gari ya kifahari !!
Monday, 5 October 2015
Sunday, 4 October 2015
Ujumbe wa Rais wa Marekani Barack Obama baada ya miaka 23 ya ndoa yao
October 3, 1992 Rais wa Marekani Barack Obama na mke wake Michelle walifunga ndoa katika kanisa la Trinity United Church huko Chicago. Marekani.
Subscribe to:
Comments (Atom)
