Brooklyn Beckham mtoto wa kwanza wa David Beckham ana miaka 15 na hivi sasa ameanza ku-date na msichana mwenye umri wa miaka 17. Hii ni mara ya kwanza kwa mtoto huyu wa kwanza wa Beckham na camera nyingi zimeanza kumfatilia kwenye kila mtoko atakao kuwa na actress/model Chloe Moretz.
Saturday, 2 August 2014
Mtoto wa Beckham amekua, mcheki hapa na girlfriend wake wa kwanza
Brooklyn Beckham mtoto wa kwanza wa David Beckham ana miaka 15 na hivi sasa ameanza ku-date na msichana mwenye umri wa miaka 17. Hii ni mara ya kwanza kwa mtoto huyu wa kwanza wa Beckham na camera nyingi zimeanza kumfatilia kwenye kila mtoko atakao kuwa na actress/model Chloe Moretz.
YAYA 'SUPER' SANOGO AWAPIGA NNE PEKE YAKE BENFICA ARSENAL IKIUA 5-1 KOMBE LA EMIRATES
MSHAMBULIAJI
kinda wa Arsenal, Yaya Sanogo au Yaya Sanogoal amwfunga mabao manne
katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Benfica jioni hii mchezo wa ufunguzi
Kombe la Emirates.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 ambaye alianza kucheza England msimu uliopita akipewa mechi 14 mashindano tote alifunga mabao hayo katika dakika za
26, 44, 45 na ushei na 49, wakati bao lingine la Gunners lilifungwa na Joel Campobell.
Bao pekee la kufutia machozi la timu a Ureno lilifungwa na Gaitan dakika ya 62.
Zijue habari tatu mpya za Chris Brown kuhusu muziki,mapenzi na maisha
AMAZING ! HUYU NDIE MUHUBIRI MWANAMKE ALIYECHORA TATOO KWENYE MATITI YAKE, IT'S CRAZY..CHECK OUT
![]() |
| Preacher With Tatoo |
Anaitwa
muhubiri Latascha Emanuel kutoka marekani ni muhubiri wa kike ambae
anakuwa mfano wa kuigwa kwa jambo 1 tu la ujasiri wa kusimama na
kuhubiri lakin matendo na muoekano wa mwili wake tuuache kama ulivyo..
SAMATTA NA ULIMWENGU WATUA MAPUTO TAYARI KUUA MAMBA KESHO
Hii ni picha maarufu hivi sasa ya Kim Kardashian na Kanye West…ina likes zaidi ya laki 8.
Friday, 1 August 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)



