Tuesday, 24 May 2016
MSANII WA KIMATAIFA KUTOKA MAREKANI NE-YO AONYESHA UTOFAUTI WAKE KATI NA YAKE WASANII WA TANZANIA --JIONEE HAPA
(1)Kilichofanyika kabla ya NE-YO kupanda jukwaani kuanza kuimba...
(2)Diamond na Ney wa mitego walichokifanya kwa pa1
(3)Baraka da prince kuimba wimbo MPYA ya Alikiba na mashabiki kupiga kelele za shwangwe
JIONEE VIDEO HII
Na kwa matukio ya picha Follow me instagram - kitomix_the_one
Saturday, 5 March 2016
Arsene Wenger amchana Thierry Henry
Thierry Henry ni mchezaji mwenye heshima kubwa kwenye historia ya Arsenal, baada ya mechi ya Swansea alitoa maoni yake ambayo mashabiki wa Arsenal lazima watampa support.
ROONEY AONGOZA KATIKA WACHEZAJI NAMBA 10 BORA ZILIZOWAHI KUTOKEA NDANI YA MIAKA 20..JIONEE LIST KAMILI HAPA
Zinedine Zidane ameshika nafasi ya nne mbele ya Luis Figo na legend wa Juventus Del Piero huku nafasi ya tatu na ya pili ikishikiliwa na Messi pamoja na Ronaldinho.
Hii inatokana na mafanikio waliyojipatia nyota hawa katika kipindi cha miaka 20.
Sunday, 21 February 2016
Hii ndio list ya viwanja 10 vyenye thamani zaidi Afrika, Tanzania je?
Huenda ukawa upo Tanzania lakini hili ukawa hulifahamu mtu wangu, tumezoea kusikia kuwa Tanzania ni nchi ambayo inatambulishwa vivutio vya utalii hususani mlima Kilimanjaro.
Wednesday, 17 February 2016
Jionee hapa TOP 5 ya simu za gharama zaidi duniani kwa mwaka 2015/2016
Mtu wangu wa nguvu kama bado hujakutana
na list ya zinazotajwa kuwa simu zenye thamani zaidi duniani, mtu wako
wa nguvu nimekutana nayo list hiyo, mara nyingi tumezoea kuona na
kusikia mtu akinunua simu kwa gharama ya juu huenda ikawa ni kati ya Tsh milioni 1 hadi milioni mbili, ila hii ni TOP 5 ya simu kali na zenye thama duniani
Subscribe to:
Posts (Atom)