Wednesday, 3 June 2015

HII NDIO HARUSI ILIYOFUNGIWA KWENYE JENEZA..TAZAMA PICHA HAPA....

edy

aruc
Maharusi wengi hutamani siku ya harusi kuwa siku ya kitofauti zaidi katika maisha yao wakiamini ndio siku pekee ambayo ni ya furaha zaidi huku wengine wakitumia kila aina ya njia kuhakikisha sherehe yao inapendeza.

MSICHANA ALIYETOKWA NA MACHOZI BAADA YA KUMWONA RAIS KENYATTA LEO KAKARIBISHWA KABISA IKULU.


TZA MWANAFUNZI ALIYELIA KWA KUMUONA RAIS APATA FURSA KUKETI HIKULUNI 2
Mara ya kwanza msichana huyu jina na picha yake viliingia kwenye Headlines baada ya kuonekana akisalimiana na Rais Kenyatta huku akitokwa machozi.. Kumbe ni RaisKenyatta aliyemwona msichana huyo akitokwa machozi huku akimpungia mkono.. akasimamisha msafara wake na kumsalimia msichana huyo.

BREAKING NEWS...TFF YAZINDUA JEZI MPYA YA TAIFA STARS..JIONEE HAPA


Vijana wa timu ya Magomeni Kombaini wakionyesha jezi mpya za timu za taifa za soka Tanzania, ikiwemo ya wakubwa, Taifa Stars wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika ukumbi wa JB Belmonte, katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo.

UVAAJI KAPTULA IMEKUA KERO KWA WADATOGA(WAMANG"ATI)