Habari njema kwa wasanii na waandaaji wa vipindi vya utamaduni pamoja na
ngoma za asili....Chanel mpya inayopatikana startv ndan ya king'amuz cha
continental Chanel namba 109 Star Afroculture inapokea kazi hizo pamoja na
mahojiano na wasanii mbali mbali....wasilisha kupitia email yetu. wasiliana
nasi kupitia namba zetu au fika katika ofis zetu Sahara media group zilizopo
mkoani mwanza wilaya ya ilemela...Kufahamu mengi zaidi bonyeza hapa usome kwa urahisi
Vipindi mbali mbali kama,,Vivutio vya utali,Asili ya mtanzania,Mazingira na misitu,,Ngano za kiafrica,,kumbu kumbu za kihistoria,,Midundo ya kiafica,,Nyimbo na ngoma zetu,,Sanaa urembo pamoja na vingine vingi,,BILA KUSAHAU KIPINDI CHA KUINUA WASANII WACHANGA KWENYE TASINIA YA MZIKI{MSANII WETU}..,,,
TEMBELEA PAGE ZETU UJIONEE VITU MBALIMBALI ..
WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA HAPO JUU
AU FIKA KATIKA OFISI ZETU ZA
SAHARA MEDIA GROUP ZILIZOPO ILEMELA MKOANI MWANZA..
P.o Box 1732 Mwanza ,Tanzania
![]() |
KAZI IKIENDELEA KATIKA HIFADHI ZA WANYAMA. |
No comments:
Post a Comment