Sunday, 17 January 2016

HIVI NDIVYO OZIL ALIVYOANGALIA MECHI YA STOKE CITY VS ARSENAL KUPITIA RUNINGA AKIWA HOME

Mesut Ozil anayeongoza kwa pasi zilizozaa mabao Premier League alikuwa nyumbani tu akiishudia timu yake ya Arsenal ikitoka sare ya bila mabao dhidi ya Stoke City.


Kiungo huyo Mjerumani ni majeruhi na leo alibaki nyumbani akishuhudia mechi hiyo, hatua kwa hatua kwa utulivu kabisa.

No comments:

Post a Comment