Monday, 5 October 2015

Hili sio basi la abiria, ni nyumba ya kuishi inayotembea… ndani ina kila kitu muhimu..


Maisha popote… inavutia kuona ubunifu na Teknolojia vinatuletea vitu vipyavipya Duniani… Pesa yako ndio inaamua wapi uishi, wapo wenye nazo ambao watavutiwa kuwa na maisha yao ndani ya hii gari ya kifahari !!

Sunday, 4 October 2015

Ujumbe wa Rais wa Marekani Barack Obama baada ya miaka 23 ya ndoa yao


October 3, 1992 Rais wa Marekani Barack Obama na mke wake Michelle walifunga ndoa katika kanisa la Trinity United Church huko Chicago. Marekani.

AGUERO AMEUNGANA NA WAKALI HAWA KWA KUTUPIA MAGOLI MATANO KWENYE MECHI MOJA EPL.

Kun 
Sergio Aguero

Tazama picha za Birthday ya Diamond Platnumz


1
Diamond akikata keki na baadhi ya ndugu na marafiki zake waliojitokeza mahali hapo.

HICHI NDICHO ALICHOKISEMA MCHUNGAJI MTIKILA SIKU MOJA KABLA YA KIFO CHAKE..


MWENYEKITI wa chama cha DP Mch. Christoper Mtikila siku moja kabla ya kifo chake aliwataka wakazi wa mkoa wa Njombe kuto chagua rais baada ya kuingia katika chuma cha Uchaguzi Octaba 25 mwaka huu kwa kuwa yeye wagombea uraisi wote walio simamishwa na vyama vingine hapa nchini anaona wanadosari.

TAZAMA PICHA ZAIDI YA KUMI ZA WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAKISHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA MWANDISHI MWENZAO

Picha ya pamoja ya wanafamilia wa Ajtc kabla ya Tukio