Maisha popote… inavutia kuona ubunifu na
Teknolojia vinatuletea vitu vipyavipya Duniani… Pesa yako ndio inaamua
wapi uishi, wapo wenye nazo ambao watavutiwa kuwa na maisha yao ndani ya
hii gari ya kifahari !!
MWENYEKITI wa chama cha DP Mch. Christoper Mtikila siku moja kabla ya kifo chake aliwataka wakazi wa mkoa wa Njombe kuto chagua rais baada ya kuingia katika chuma cha Uchaguzi Octaba 25 mwaka huu kwa kuwa yeye wagombea uraisi wote walio simamishwa na vyama vingine hapa nchini anaona wanadosari.