Saturday, 5 March 2016

TEGEMEA MABADILIKO 5 MAKUBWA EPL KAMA ITAKUWA NI KATI YA MOURINHO NA GUARDIOLA MSIMU UJAO

Mou-Pep
Upinzani kati ya Mourinho na Guardiola utaendelea

Arsene Wenger amchana Thierry Henry


wenfr
Thierry Henry ni mchezaji mwenye heshima kubwa kwenye historia ya Arsenal, baada ya mechi ya Swansea alitoa maoni yake ambayo mashabiki wa Arsenal lazima watampa support.

ROONEY AONGOZA KATIKA WACHEZAJI NAMBA 10 BORA ZILIZOWAHI KUTOKEA NDANI YA MIAKA 20..JIONEE LIST KAMILI HAPA


Best 10-10
Zinedine Zidane ameshika nafasi ya nne mbele ya Luis Figo na legend wa Juventus Del Piero huku nafasi ya tatu na ya pili ikishikiliwa na Messi pamoja na Ronaldinho.
Hii inatokana na mafanikio waliyojipatia nyota hawa katika kipindi cha miaka 20.