Wednesday, 18 March 2015
Tuesday, 17 March 2015
YULE MSIEMPENDA KAACHIWA HURU..SASA NGUMI ZOTE ULINGONI..
Thursday, 5 March 2015
MVUA YA MASAA MAWILI YALETA MAJANGA MKOANI SHINYANGA,,ZAIDI YA WATU 30 WAPOTEZA MAISHA
Vua
kubwa iliyonyesha usiku wa kiamkia leo imeuwa watu zaidi ya 50 na
wengine zaidi ya 80 kujeruhiwa katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka
wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Tuesday, 3 March 2015
Wimbo wa Marehemu Kapteni Komba Wamliza Rais Kikwete,Ally hassan mwinyi.
Sehemu ya mashairi ya wimbo huo uliokwenda kwa jina la “Nani Yule” ulioimbwa na wanamuziki mbalimbali wa bendi nchini, na kuwatoa watu machozi iliimbwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
“Kapteni Komba familia yako umeiacha na nani, chama chako umekiacha na nani, nenda baba msalimie Mwalimu, mweleze hali ya Watanzania ilivyo hivi sasa, mweleze hali ya nchi yetu ilivyo hivi sasa hasa wakati huu, msalimie Mzee Kawawa Simba wa Vita”
Baadhi ya wanamuziki walioshiriki kuimba wimbo huo ni King Kiki, Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlata, Jose Mara ambaye ni mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu na Luiza Mbutu wa African Stars.
Monday, 2 March 2015
AKICHOKISEMA MPOKI KUHUSU MSIBA WA KAPTAIN KOMBA..NA KUHUSU KUIGA SAUTI YAKE.. #RIP John Komba
![Mpoki II](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/Mpoki-II.jpg?resize=495%2C371)
Subscribe to:
Posts (Atom)