Hali ya mambo visiwani Zanzibar siyo nzuri
hata kidogo, (wala si ya kufurahia) toka jana
jioni ilipotoka taarifa ya kufukuzwa kazi kwa
Mwanasheria Mkuu wa SUK Athuman Masoud.
Kumekuwa na vikao usiku kucha kwa viongozi
na wanachama wa CUF Zanzibar, na kuazimia
pamoja na mambo mengine kufanya tathimini
ya "KUJIUZULU" kwa makamo wa kwanza wa
rais wa serikali ya umoja wa kitaifa. Maalim
Seif.
Naam, mmoja wa vijana aliepewa kazi ya
kupima upepo ambaye ni mwanasheria wa
CUF, anaangalia swala hili kisheria
(ikumbukwe kuna makubaliano ya kisheria
katika kuongoza SUK).
Baadhi wamepewa angles tofauti na kutoa
majibu mapema iwezekanavyo.
Ili Mheshimiwa achukue uamuzi Mgumu
haraka leo.
Kama ikiwa ndio hivyo, kesho Media zote ni
kujiuzulu kwa Sharif na si kupokeaji wa katiba.
My take:
Kama karidhia yeye mwenyewe Mh.Maalim, na
iwe hivyo ila kama ni kupata attention ya
media tu siyo.
Tuesday, 7 October 2014
Kumekucha : Maalim Seif Hamad Kujiuzulu Umakamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment