MWANASOKA Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo
amesema kwamba Manchester United ni klabu
ambayo ipo moyoni make na anatamani siku
moja are jee kucheza tena.
Mchezaji huyo wa Real Madrid na Ureno
ameweka wazi "MaipendaI Manchester," na
kuongeza;
"Kila mmoja anajua hilo — nimesema hivyo mara
nyingi. Manchester ipo moyoni mwangu.
Nimeacha marafi wengi huko, mashabiki
wanavutia sana na ninatamani siku moja
ningerudi,".
No comments:
Post a Comment