Thursday, 22 January 2015

HICHI NDICHO ALICHOKISEMA MAKAMBA JUU YA CHAMA CHAKE..

Siku chache baada ya matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuonyesha kuwa CCM, imeporomoka, Mbunge wa Bumbuli,

Shindano la Nani Mkali: Jokate na Lulu Michael ...Aya ndio matokeo..

Mwanamitindo  na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini.

HII NDIYO NDEGE INAYOPAA KUTUMIA NISHATI YA JUA..JIONEE HAPA VIDEO YAKE IKIWA ANGANI,,

solar
Dunia na teknolojia yake, kila siku kuna mapya kwa hiyo hatutoacha kushangazwa nayo kila yanapojitokeza.
Nikufahamishe kwamba hii ndege inaitwa ‘Solar Impulse 2′, inatumia mwanga wa jua tu kuzalisha nguvu ya umeme ambayo inaifanya iruke.

Wednesday, 21 January 2015

JE WANAWAKE WA MJINI KUJIFUNGUA KWA NJIA HII NI BIASHARA AU NI UOGA..SOMA HAPA...

Kati ya wajawazito 20 wanaofika mahospitalini kwaajili ya kujifungua 16 wanajifungua kwa operation na hii hutokea sana katika private hospital.

CHEKI HAPA CHANNEL MPYA YA TV AMBAYO ITAKUWA GUMZO AFRIKA .....


Habari njema kwa wasanii na waandaaji wa vipindi vya utamaduni pamoja na 

ngoma za asili....Chanel mpya inayopatikana startv ndan ya king'amuz cha 

continental Chanel namba 109 Star Afroculture inapokea kazi hizo pamoja na 

mahojiano na wasanii mbali mbali....wasilisha kupitia email yetu. wasiliana 

ZITO KABWE ATOA YA MOYONI KUHUSU CHADEMA…SOMA HAPA......


Zitto-KabweZitto Kabwe ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, mwanzoni mwa 2014 kulikuwa na story ya mgogoro kati yake na Chama cha CHADEMA.
Magazeti yaliyotoka siku chache zilizopita yaliripoti taarifa ya Mbunge Zitto Kabwe kurudi tena CHADEMA, millardayo.com imepata exclusive interview na Zitto Kabwe, kazungumzia shu hiyo.

Jina la Ikulu ya Tanzania Latumika Katika Utapeli wa Ajira, Ikulu yatahadharisha Juu ya Utapeli Huo

Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu jijini Dar es salaam nchini Tanzania imetoa tahadhari kwa wananchi juu ya kuwepo kwa baadhi ya watu ambao ni matapeli na wanatumia vibaya jina la ikulu kwa kusema kwamba kuna nafasi za ajira na wana uwezo wa kuwapatia ajira kwa kutoa fedha.

Tuesday, 20 January 2015

HAYA NDIO MAAJABUNdugu wa marehemu wameukosa mwili wa mtu wao, kaburi halikuachwa wazi!tazama hii video Video

http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/K24.jpgMwili wa mtu aliyeuawa na mamba katika Ziwa Baringo, Kenya mwezi December inasemekana umezikwa bila idhini ya  familia ya mtu huyo.
Inatolewa inapelekwa mahali pengine ambayo hata hatujui ni ajabu sana… Sisi tumesema tunataka mwili wa mtoto wetu, tunataka mwili wa mtoto wetu mara moja” alisema ndugu wa marehemu.

CHUKUA TIME YAKO KUTAZAMA VIDEO HII MPYA..Hello Baby - Avril ft Ommy Dimpoz

Mwigulu Nchemba kuhusu Urais, Escrow, kiongozi wa Upinzani anayemvutia huyu hapa,,

Kama umepitwa na show ya Mkasi, hii ilikuwa ya Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, mengi kayazungumza humu ikiwemo ishu ya kutangaza kugombea Urais, Escrow, skafu yake na pia kamtaja kingozi wa upinzani anayemvutia.
Ishu ya kutamani kugombea Urais; “Hata kama ningetamani kwa kiwango gani, kama sitatimiza majukumu haya niliyopewa hakuna mtu atakayeniamini…
Rais wa awamu ya nne ameweka rekodi yake ya kutokulinda wahalifu… Ni Rais huyu huyu aliruhusu Waziri wake Mkuu ajiuzulu, ukiangalia kwenye rekodi ni Mawaziri wengi sana wameondoka. Mimi naamini anachotafuta ni hicho tu kutenda haki…” hapa alikuwa akizungumzia ishu ya maamuzi ya Rais kuhusu Escrow.
Nchemba I
Kuhusiana na ishu ya Wafanyakazi wa TRA waliosababisha hasara ya Kodi, Nchemba alisema;