Monday, 4 November 2013

MOYES AWATAKA MAREFA KUMLINDA JANUZAJ KAMA MESSI

KOCHA David Moyes amesema winga Adnan Januzai lazima alindwe na marefa baada ya Sascha Riether kuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa chini ya sheria mpya baada ya marefa kutoona tukio uwanjani . 
Mshambuliaji huyo kinda alikuwa alichezewa rafu na beki huyo wa Fulham, United ikishinda 3-1 Uwanja wa Craven Cottage Jumamosi. 
Refa Lee Probert na wasaidizi wake hawakuona tukio hilo wakati linatokea, lakini marudio ya picha za video yanaonyesha vizuri. 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Mlinzi: Marouane Fellaini akiwa na Adnan Januzaj, ambayealichezewa rafu na Sascha Riether Jumamosi
Protection: David Moyes has said Januzaj needs protection from referees
Ulinzi: David Moyes amesema Januzaj anahitaji kulindwa na marefa
Taking a look: Manchester United players inspect the Estadio Anoeta pitch ahead of their match with Real Sociedad Tuesday night
Umewaona: Wachezaji wa Manchester United wakiwa kwenye Uwanja wa Estadio Anoeta kuelekea mechi yao ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Sociedad usiku wa leo
Learning to cope: Moyes says the teenager is 'learning to cope' with the rough and tumble
Anajifunza: Moyes amesema kinda huyo anajifunz namna ya kukabiliana na rafu
Charged: Sascha Riether has been charged by the FA for violent conduct - he is the first to be done so under a new pilot scheme that charges retrospectively
Adhabu: Sascha Riether ameadhibiwa na FA kwa tukio hili
Messi example: Januzaj deserves more protection from referees, says Moyes
Kama Messi: Januzaj anastahili kulindwa zaidi na marefa, amesema Moyes

Na kwa sababu huyo, beki huyo wa pembeni ameadhibiwa na FA kwa kufungiwa mechi tatu.
Inamaanisha Riether anakuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa chini ya sheria mpya ya FA, kumuadhibu mchezaji ambaye alifanya kosa lakini halikuonekana kwa marefa wakat wa mechi. 

No comments:

Post a Comment