Baada ya Babu yetu Mh Wasira kuaziriwa na suti mbele ya watu kwa kufunga vifungu vibaya na kuwa gumzo kubwa mtandaoni na watu kumkejeli sana , unaambiwa sasa kaamua kuwakata watu vidomo kuanzia sasa
designer wake atakuwa ni Sheria Ngowi ...Mambo ya Single Button na Taxdo kwa Kwenda Mbele...Kiintanational Zaidi
No comments:
Post a Comment