Saturday, 21 September 2013

Watu wenye silaha hatari wavamia Westgate Shopping Center Kenya na kuuwa zaidi ya 15 na kujeruhi zaidi ya 50

Watu wenye silaha hatari wavamia Westgate Shopping Center Kenya na kuuwa zaidi ya 15 na kujeruhi zaidi ya 5

Watu wanaosemekana kuwa na silaha kali wavamia kituo cha biashara "Westgate Shopping Mall" iliyoko Westland, Nairobi, Kenya, na kufyatua risasi kwa watu waliokuwa katika jengo hilo wakifanya manunuzi ya bidhaa mbalimbali, leo hii mida ya saa 06:50 mchana. idadi iliyothibitishwa ya waliofariki imefikia 11 huku 31 wakiwa wamejeruhiwa, lakini kutokana na shirika la msalaba mwekundu idadi ya waliofariki ni 22 huku zaidi ya 50 wakiwa wamejeruhiwa Wavamizi hao ambao mpaka sasa hawajulikani ni akina nani na nini wanachokihitaji wanasemekana kuingia katika jengo hilo wakiwa wamevaa... more »

No comments:

Post a Comment