Thursday, 26 February 2015

Msanii Temba Kutoka TMK Wanaume Apandishwa Mahakamani kwa Kutishia Kuua

Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Amani James aka Mh Temba jana amefikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Temeke jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua kwa kisu kutokana na wivu wa mapenzi.

Breaking News: Chid Benzi Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili Jela au Kulipa Faini ya sh. 900,000


Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.

Haya matano ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Sauti yake kutoka @PB CloudsFM

1890627_780321122049682_415026655172911331_o
DC wa Kinondoni, Paul Makonda

Power Breakfast ilikuwa hewani asubuhi ya leo February 26, mgeni rasmi ambaye alipata nafasi ya kufanya mahojiano ni Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Paul Makonda ambaye vyombo vya habari vilikuwa na headlines nyingi kuhusu yeye tangu siku ambayo alitangazwa kuwa DC mpya wa Wilaya hiyo.

Hatimaye Kinyesi cha Mwalimu Kilichokuwa Kwenye Chumba Chake Kwa Miezi Kadhaa Chateketezwa



Manispaa ya Temeke leo imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.

Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika ‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa.

Mzee Malecela amekitaka Chama cha Mapinduzi Kumchukulia hatua kali za kinidhamu Lowassa



Maneno aliyosema mwl. Nyerere kuwa IKULU sio pango la walanguzi usikimbilie kwenda IKULU ni mahali patakatifu mtu yeyote anayekimbilia IKULU bila kujiuliza mwogopeni hafai kuwa Rais. Maneno hayo ya mtu kukimbilia IKULU aliyarudia kuyasema Waziri mkuu mstafu mzee John Malecela.

Wednesday, 25 February 2015

MZEE WA MIAKA 90 APIGA MAZOEZI KAMA KIJANA WA MIAKA 20..KIONEE HAPA VIDEO

WAZALIWA NA MAMA MMOJA ,WAUAWA NA KUTOLEWA MIOYO YA NA MAMA YAO.NA HII NDIO SAFARI YAO YA MWISHO..


SAMSUNG
Moja ya taarifa kutoka Nairobi Kenya ambayo ilisikitisha sana ni tukio la watoto watatu kuuawa na mwanamke mmoja ambaye baada ya kuwaua halafu akawapasua na kula mioyo ya watoto hao.
Mwanamke huyo Catherine Muthoni alimuua mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka kumi na baadaye kuua watoto hao wawili wa jirani.SAMSUNG
Tukio la leo katika eneo la makaburi ya Lang’ata limewatoa wengi machozi wakikumbuka jinsi watoto hao walivyofariki kwa mateso ambapo familia ya watoto hao wameamua kufanya mazishi ya watoto wote wawili kwenye kaburi moja.SAMSUNG
Mwanamke huyo anashikiliwa na Polisi kesi yake ikiendelea ambapo Mahakama iliagiza afanyiwe uchunguzi kama ana matatizo ya akili huku upelelezi wa kesi yake ukiendelea.

Monday, 16 February 2015

JIONEE HAPA PICHA ZA MWISHO ZA SAFARI YA BABA AKE DULLY SYKES..MZEE EBBY SYKES...VIONGOZI WA SERIKALI NA WASANII WAONYESHA USHIRIKIANO WA KUTOSHA...

.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki na Jaji mstaafu Joseph Warioba leo Feb 16 wameungana na  wananchi mbalimbali kwenye mazishi ya muimbaji mkongwe wa muziki nchini, Ebby Sykes ambaye ni baba mzazi wa msanii Dully Sykes.

Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji

Wahamiaji kutoka Afrika wakiwa wameokolewa na walinzi wa pwani ya Italia katika bahari ya Mediterani
Kikosi cha ulinzi wa pwani ya Italia kimesema kimewaokoa zaidi ya wahamiaji elfu mbili wakisafiri katika maboti katika bahari ya Mediterani-- katika operesheni kubwa kuliko zote kufanywa kwa wakati mmoja mpaka sasa.

Sunday, 15 February 2015

Alikua na ndoto za kumiliki gari la kifahari aina ya Lamborghini…akaamua kutengeneza hivi!

lambo
Baada ya kuwa na ndoto za kuendesha gari ya kifahari aina ya Lamborghin huku akiwa hana uwezo wa kununua gari hiyo Yu Jietao raia wa Jiangx,

Friday, 13 February 2015

Mtoto wa miaka sita atoa mpyal, amuomba Mourinho na Diego costs Waiokoe timu yake ya Aston Villa…

Shabiki mwenye umri wa miaka 6 wa Aston Villa akionyesha barua aliyoandika kwa Mourinho akimuomba aje kuiokoa timu yake .
Saa 24 zilizopita zimekuwa ngumu sana kwa mashabiki wa klabu ya Aston Villa ambao wameishuhudia timu yao ikianguka kwenye janga la kushuka daraja baada ya mfululizo wa matokeo mabaya.

Hii namuhusu mtoto wa mwigizaji maarufu duniani Jackie Chan..



jackie 
Kitendo cha mtoto wa mwigizaji maarufu China Jackie Chan aitwaye Jaycee Chan kukamatwa na dawa za kulevya nyumbani kwake kilimfedhehesha sana baba yake kutokana na kuwa mtu maarufu ndani ya nchi hiyo na duniani kote.

Thursday, 12 February 2015

JIONEE HAPA KICHAPO KILIVYOTEMBEA KATIKA BUNGE LA AFRICA KUSINI...

Members of Julius Malema's Economic Freedom Fighters (EFF) clash with security officials after being ordered out of the chamber during President Jacob Zuma's State of the Nation address in parliament in Cape Town
Wabunge wenzake na Julius Malema wenye nguo nyekundu wakitolewa nje ya Bunge Afrika Kusini jana jioni February 12

JIONEE HAPA KICHAPO KILICHOTEMBEA KATIKA BUNGE LA AFRICA KUSINI

Baada ya Waziri Wasira Kupata Aibu ya Suti, Sasa Asalimu Amri Amkimbilia Sheria Ngowi Kuokoa Jahazi, Sasa Mwendo wa Single Button


Baada ya Babu yetu Mh Wasira kuaziriwa na suti mbele ya watu kwa kufunga vifungu vibaya na kuwa gumzo kubwa mtandaoni na watu kumkejeli sana , unaambiwa sasa kaamua kuwakata watu vidomo kuanzia sasa

LULU ATAMBA KUWA BABA AKE NI HANDSOME...

Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa

Huyu ndo Kiongozi wa Kikundi cha Kigaidi Kinachoua Polisi na Kuiba Silaha Kwenye Vituo Nchini.....Anaitwa Kaisi Bin Abdullah


HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!

Monday, 9 February 2015

Utafiti kuhusu watu ambao hufanya zaidi tendo la ndoa

couple2_rgb
Katika hali ya kawaida imezoeleka kuwa tendo la ndoa au mapenzi hufanywa zaidi na vijana kwa sababu miili yao imechangamka na pia ina nguvu kuliko ya watu wazima na afya ya kuhimili tendo hili lakini pia ule mvuto wa mapenzi nao huwa mkubwa miongoni mwa vijana.

Tuesday, 3 February 2015

Cristiano Ronaldo kuuzwa kwa dau hili hapa......



dimpo 
Katika yale yaliyosikika mfululizo kuhusu staa wa soka DUNIANI, Cristiano Ronaldo kuna ishu ya kuachana na mpenzi wake, ipo ya sanamu kubwa kujengwa nyumbani kwao Ureno kama ishara ya kuheshimu anavyoipa sifa nzuri nchi hiyo duniani, lakini pia ana tuzo yake ya Ballon d’Or, mwanasoka bora wa kiume duniani.
Ubora wake unampa thamani kubwa, wakala wake ametangaza dau kubwa kwa klabu yoyote ambayo itakuwa tayari kumnunua staa huyo muda wowote kuanzia sasa.

Huyu ndiye aliewekewa mikono ya mtu mwingine..jionee hapa

opppMadaktari katika Chuo cha Tiba cha Amrita, Kochi huko India wamefanikiwa kufanya upasuaji wa aina yake wa kupandikiza mikono mipya kwa binadamu aliyekatika viungo hivyo.

RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AITEMBELEA TANZANIA TAZAMA MAPOKEZI YAKE YALIVYOKUA..


Rais wa Ujerumani Mh. Joachim Gauck  akiwa ameambatana na mkewe Bibi Schadt akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam.