Thursday, 26 February 2015
Msanii Temba Kutoka TMK Wanaume Apandishwa Mahakamani kwa Kutishia Kuua
Breaking News: Chid Benzi Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili Jela au Kulipa Faini ya sh. 900,000
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Haya matano ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Sauti yake kutoka @PB CloudsFM
![1890627_780321122049682_415026655172911331_o](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/1890627_780321122049682_415026655172911331_o.jpg?resize=546%2C364)
DC wa Kinondoni, Paul Makonda
Power Breakfast ilikuwa hewani asubuhi
ya leo February 26, mgeni rasmi ambaye alipata nafasi ya kufanya
mahojiano ni Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Paul Makonda ambaye vyombo vya habari vilikuwa na headlines nyingi kuhusu yeye tangu siku ambayo alitangazwa kuwa DC mpya wa Wilaya hiyo.
Hatimaye Kinyesi cha Mwalimu Kilichokuwa Kwenye Chumba Chake Kwa Miezi Kadhaa Chateketezwa
Manispaa ya Temeke leo imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.
Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo. |
Mzee Malecela amekitaka Chama cha Mapinduzi Kumchukulia hatua kali za kinidhamu Lowassa
Maneno aliyosema mwl. Nyerere kuwa IKULU sio pango la walanguzi usikimbilie kwenda IKULU ni mahali patakatifu mtu yeyote anayekimbilia IKULU bila kujiuliza mwogopeni hafai kuwa Rais. Maneno hayo ya mtu kukimbilia IKULU aliyarudia kuyasema Waziri mkuu mstafu mzee John Malecela.
Wednesday, 25 February 2015
WAZALIWA NA MAMA MMOJA ,WAUAWA NA KUTOLEWA MIOYO YA NA MAMA YAO.NA HII NDIO SAFARI YAO YA MWISHO..
![SAMSUNG](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/2015-02-25-19.14.47.jpg?resize=480%2C360)
Moja ya taarifa kutoka Nairobi Kenya
ambayo ilisikitisha sana ni tukio la watoto watatu kuuawa na mwanamke
mmoja ambaye baada ya kuwaua halafu akawapasua na kula mioyo ya watoto
hao.
Mwanamke huyo Catherine Muthoni alimuua mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka kumi na baadaye kuua watoto hao wawili wa jirani.![SAMSUNG](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/2015-02-25-19.13.31.jpg?resize=504%2C378)
![SAMSUNG](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/2015-02-25-19.13.31.jpg?resize=504%2C378)
Tukio la leo katika eneo la makaburi ya
Lang’ata limewatoa wengi machozi wakikumbuka jinsi watoto hao
walivyofariki kwa mateso ambapo familia ya watoto hao wameamua kufanya
mazishi ya watoto wote wawili kwenye kaburi moja.![SAMSUNG](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/2015-02-25-19.13.47-1.jpg?resize=490%2C368)
![SAMSUNG](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/2015-02-25-19.13.47-1.jpg?resize=490%2C368)
Mwanamke huyo anashikiliwa na Polisi
kesi yake ikiendelea ambapo Mahakama iliagiza afanyiwe uchunguzi kama
ana matatizo ya akili huku upelelezi wa kesi yake ukiendelea.
Monday, 16 February 2015
JIONEE HAPA PICHA ZA MWISHO ZA SAFARI YA BABA AKE DULLY SYKES..MZEE EBBY SYKES...VIONGOZI WA SERIKALI NA WASANII WAONYESHA USHIRIKIANO WA KUTOSHA...
.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck
Sadiki na Jaji mstaafu Joseph Warioba leo Feb 16 wameungana na
wananchi mbalimbali kwenye mazishi ya muimbaji mkongwe wa muziki
nchini, Ebby Sykes ambaye ni baba mzazi wa msanii Dully Sykes.
Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/12/150212052220_african_migrants_italy_624x351_reuters.jpg)
Kikosi
cha ulinzi wa pwani ya Italia kimesema kimewaokoa zaidi ya wahamiaji
elfu mbili wakisafiri katika maboti katika bahari ya Mediterani-- katika
operesheni kubwa kuliko zote kufanywa kwa wakati mmoja mpaka sasa.
Sunday, 15 February 2015
Alikua na ndoto za kumiliki gari la kifahari aina ya Lamborghini…akaamua kutengeneza hivi!
![lambo](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/lambo.jpg?resize=429%2C285)
Baada ya kuwa na ndoto za kuendesha gari ya kifahari aina ya Lamborghin huku akiwa hana uwezo wa kununua gari hiyo Yu Jietao
raia wa Jiangx,
Friday, 13 February 2015
Mtoto wa miaka sita atoa mpyal, amuomba Mourinho na Diego costs Waiokoe timu yake ya Aston Villa…
![Shabiki mwenye umri wa miaka 6 wa Aston Villa akionyesha barua aliyoandika kwa Mourinho akimuomba aje kuiokoa timu yake .](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/brandon.jpg?resize=443%2C293)
Saa 24 zilizopita zimekuwa ngumu sana kwa mashabiki wa klabu ya Aston Villa ambao wameishuhudia timu yao ikianguka kwenye janga la kushuka daraja baada ya mfululizo wa matokeo mabaya.
Hii namuhusu mtoto wa mwigizaji maarufu duniani Jackie Chan..
Kitendo cha mtoto wa mwigizaji maarufu China Jackie Chan aitwaye Jaycee Chan
kukamatwa na dawa za kulevya nyumbani kwake kilimfedhehesha sana baba
yake kutokana na kuwa mtu maarufu ndani ya nchi hiyo na duniani kote.
Thursday, 12 February 2015
JIONEE HAPA KICHAPO KILIVYOTEMBEA KATIKA BUNGE LA AFRICA KUSINI...
![Members of Julius Malema's Economic Freedom Fighters (EFF) clash with security officials after being ordered out of the chamber during President Jacob Zuma's State of the Nation address in parliament in Cape Town](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/download3.jpg?resize=568%2C378)
Wabunge wenzake na Julius Malema wenye nguo nyekundu wakitolewa nje ya Bunge Afrika Kusini jana jioni February 12
Baada ya Waziri Wasira Kupata Aibu ya Suti, Sasa Asalimu Amri Amkimbilia Sheria Ngowi Kuokoa Jahazi, Sasa Mwendo wa Single Button
Baada ya Babu yetu Mh Wasira kuaziriwa na suti mbele ya watu kwa kufunga vifungu vibaya na kuwa gumzo kubwa mtandaoni na watu kumkejeli sana , unaambiwa sasa kaamua kuwakata watu vidomo kuanzia sasa
LULU ATAMBA KUWA BABA AKE NI HANDSOME...
Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha
zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na
mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake,
Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa
Huyu ndo Kiongozi wa Kikundi cha Kigaidi Kinachoua Polisi na Kuiba Silaha Kwenye Vituo Nchini.....Anaitwa Kaisi Bin Abdullah
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!
Monday, 9 February 2015
Utafiti kuhusu watu ambao hufanya zaidi tendo la ndoa
![couple2_rgb](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/couple2_rgb.jpg?resize=503%2C335)
Katika hali ya kawaida imezoeleka kuwa
tendo la ndoa au mapenzi hufanywa zaidi na vijana kwa sababu miili yao
imechangamka na pia ina nguvu kuliko ya watu wazima na afya ya kuhimili
tendo hili lakini pia ule mvuto wa mapenzi nao huwa mkubwa miongoni mwa
vijana.
Thursday, 5 February 2015
Wednesday, 4 February 2015
Tuesday, 3 February 2015
Cristiano Ronaldo kuuzwa kwa dau hili hapa......
Katika yale yaliyosikika mfululizo kuhusu staa wa soka DUNIANI, Cristiano Ronaldo kuna
ishu ya kuachana na mpenzi wake, ipo ya sanamu kubwa kujengwa nyumbani
kwao Ureno kama ishara ya kuheshimu anavyoipa sifa nzuri nchi hiyo
duniani, lakini pia ana tuzo yake ya Ballon d’Or, mwanasoka bora wa
kiume duniani.
Ubora
wake unampa thamani kubwa, wakala wake ametangaza dau kubwa kwa klabu
yoyote ambayo itakuwa tayari kumnunua staa huyo muda wowote kuanzia
sasa.
Huyu ndiye aliewekewa mikono ya mtu mwingine..jionee hapa
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AITEMBELEA TANZANIA TAZAMA MAPOKEZI YAKE YALIVYOKUA..
Rais
wa Ujerumani Mh. Joachim Gauck akiwa ameambatana na mkewe Bibi Schadt
akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam.
Subscribe to:
Posts (Atom)