Unaambiwa karibu kabisa na uwanja wa soka unaomilikiwa na club ya Manchester United ndio kuna barabara imepewa jina la Sir Alex Ferguson ambapo imefunguliwa rasmi na imepewa hilo jina kutokana na heshima aliyopewa Sir Alex na Trafford Council kutokana na mchango wake.
Sir Alex ambae ameshinda makombe nearly 40 kwenye miaka 26 aliyofanya kazi na kuwa kocha wa club ya Manchester United, alialikwa pia kwenye hili tukio la kutambulishwa rasmi kwa barabara yenye jina lake ambapo mwanzoni ilikua inaitwa Water’s Reach.
Namkariri Sir Alex akiongea baada ya tukio….. ‘Nilipowasili Old Trafford mwaka 1986 nilikua na idea ndogo kuhusu safari yangu, over quarter of a century later to receive the Freedom of the Borough of Trafford na kuwa na sehemu ya Trafford iliyo na jina langu ni heshima kubwa, nimefurahi na kushukuru’
Unaambiwa the Honorary Freedom is the highest honour which the council can bestow. Under Section 249 of the Local Government Act 1972 borough councils may admit as Honorary Freemen of the Borough “persons of distinction and persons who have, in the opinion of the Council, rendered eminent services to the Borough”
Sir Alex na mashabiki wake..
Councillor Matt Colledge, leader of the council, said: “Sir Alex has contributed significantly to Trafford over a sustained period of time through his strong leadership of the Manchester United team and it was felt that the Honorary Freeman title and the renaming of the street was a fitting tribute to him.
“Football contributes significantly to the borough through the large number of visitors it attracts and jobs it creates.
“It has been through the success of the team that the club has grown in strength over the years, becoming one of the world’s most successful and renowned clubs.”
No comments:
Post a Comment