Monday, 7 October 2013

MAN UNITED YAMPA BONGE LA OFA JANUZAJ ABAKI OLD TRAFFORD

KLABU ya Manchester United imempa Adnan Januzaj ofa ya mshara wa Pauni 60,000 kwa wiki ili abaki Old Trafford baada ya kuisaidia timu hiyo kushinda Uwanja wa Light. 

Kinda huyo mwenye umri wa miaka 18, zao lingine la kizazi cha dhahabu cha Ubelgiji, alicheza mechi yake ya kwanza ya Ligi Kuu ya England na kufunga mabao mawili yalioyomfariji kocha David Moyes kwa ushindi wa 2-1.
Na wakati mkataba wa mshambuliaji huyo unamalizika miezi nane ijayo, klabu kadhaa zimeonyesha nia ya kumsajili, hivyo kocha huyo United anataka kumbakiza nyoa wake huyo mpya.
Tempting: Manchester United have offered Adnan Januzaj £60,000 per week to stay at the club
Kifaa: Manchester United imempa Adnan Januzaj ofa ya mshahara wa Pauni 60,000 wiki abaki katika klabu hiyo
On the town: Januzaj takes a stroll through Manchester on Sunday afternoon
Mitaa ya mjini: Januzaj akitalii mitaa ya Jiji la Manchester Jumapili
Adnan Januzaj
Kazi nzuri imefanyika: Januzaj akipongezwa na wenzake Robin van Persie na Michael Carrick baada ya kufunga
Praise: Wayne Rooney is a fan of the precocious talent
Wanamkubali: Wayne Rooney ni shabiki mkubwa wa nyoa huyo mwenye kipaji
Adnan Januzaj
: Kocha wa United, David Moyes amempa nafasi Januzaj kung'ara kama alivyofanya kwa Rooney alipokuwa naye Everton

No comments:

Post a Comment