Friday, 11 October 2013

BAADA YA KUMUINGIZIA ZAIDI YA MILLIONI 130 NYIMBO YA POMBE YANGU,,MADEE AJA NA NYINGINE TENA;'TEMA MATE TUWACHAPE'


                       NYUMBA YA MADEE
Kila msanii anapotoa single kali kila mmoja anatamani kusikia itakayofata itakuaje? hii inatokea hata kwa Madee ambae ‘Pombe yangu’ ilimpa nguvu ya kutosha kumiliki chati za radio na TV na hata kumpa show za zaidi ya milioni 100.
Time hii naitumia kukualika kusikiliza single yake mpya ya ‘tema mate tuwachape’ ft Richard


No comments:

Post a Comment