Thursday, 31 October 2013

BARACK OBAMA ASHUSHWA NAMBA MOJA YA LIST YA MOST POWERFULL 2013,VLADIMIR PUTIN AONGOZA

.
forbes
Mtandao maarufu kwa kutoa list mbalimbali ikiwemo ya watu matajiri duniani, wakati huu wametoa list ya watu wenye nguvu sana duniani. Mwaka jana namba moja alikuwa rais wa taifa kubwa dunia Barrack Obama. Mwaka huu mambo yamekuwa tofauti kwa kumuona bwana Obama akishuka kutoka kwenye hiyo nafasi yake.

Watu wengine maarufu waliopo kwenye top five ni  Xi Jinping mwenyekiti wa chama cha kikomunisti cha China,Pope Francis,Angela Merkel kutoka Ujerumani na Vladimir Putin kutoka Russia ambaye ndiyo namba moja akifuatiwa na Barack Obama namba mbili. Untitled

No comments:

Post a Comment