Monday, 5 October 2015

Hili sio basi la abiria, ni nyumba ya kuishi inayotembea… ndani ina kila kitu muhimu..


Maisha popote… inavutia kuona ubunifu na Teknolojia vinatuletea vitu vipyavipya Duniani… Pesa yako ndio inaamua wapi uishi, wapo wenye nazo ambao watavutiwa kuwa na maisha yao ndani ya hii gari ya kifahari !!

Sunday, 4 October 2015

Ujumbe wa Rais wa Marekani Barack Obama baada ya miaka 23 ya ndoa yao


October 3, 1992 Rais wa Marekani Barack Obama na mke wake Michelle walifunga ndoa katika kanisa la Trinity United Church huko Chicago. Marekani.

AGUERO AMEUNGANA NA WAKALI HAWA KWA KUTUPIA MAGOLI MATANO KWENYE MECHI MOJA EPL.

Kun 
Sergio Aguero

Tazama picha za Birthday ya Diamond Platnumz


1
Diamond akikata keki na baadhi ya ndugu na marafiki zake waliojitokeza mahali hapo.

HICHI NDICHO ALICHOKISEMA MCHUNGAJI MTIKILA SIKU MOJA KABLA YA KIFO CHAKE..


MWENYEKITI wa chama cha DP Mch. Christoper Mtikila siku moja kabla ya kifo chake aliwataka wakazi wa mkoa wa Njombe kuto chagua rais baada ya kuingia katika chuma cha Uchaguzi Octaba 25 mwaka huu kwa kuwa yeye wagombea uraisi wote walio simamishwa na vyama vingine hapa nchini anaona wanadosari.

TAZAMA PICHA ZAIDI YA KUMI ZA WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAKISHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA MWANDISHI MWENZAO

Picha ya pamoja ya wanafamilia wa Ajtc kabla ya Tukio 

Wednesday, 3 June 2015

HII NDIO HARUSI ILIYOFUNGIWA KWENYE JENEZA..TAZAMA PICHA HAPA....

edy

aruc
Maharusi wengi hutamani siku ya harusi kuwa siku ya kitofauti zaidi katika maisha yao wakiamini ndio siku pekee ambayo ni ya furaha zaidi huku wengine wakitumia kila aina ya njia kuhakikisha sherehe yao inapendeza.

MSICHANA ALIYETOKWA NA MACHOZI BAADA YA KUMWONA RAIS KENYATTA LEO KAKARIBISHWA KABISA IKULU.


TZA MWANAFUNZI ALIYELIA KWA KUMUONA RAIS APATA FURSA KUKETI HIKULUNI 2
Mara ya kwanza msichana huyu jina na picha yake viliingia kwenye Headlines baada ya kuonekana akisalimiana na Rais Kenyatta huku akitokwa machozi.. Kumbe ni RaisKenyatta aliyemwona msichana huyo akitokwa machozi huku akimpungia mkono.. akasimamisha msafara wake na kumsalimia msichana huyo.

BREAKING NEWS...TFF YAZINDUA JEZI MPYA YA TAIFA STARS..JIONEE HAPA


Vijana wa timu ya Magomeni Kombaini wakionyesha jezi mpya za timu za taifa za soka Tanzania, ikiwemo ya wakubwa, Taifa Stars wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika ukumbi wa JB Belmonte, katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo.

UVAAJI KAPTULA IMEKUA KERO KWA WADATOGA(WAMANG"ATI)

Wednesday, 18 March 2015

MAAJABU..MBUZI AZALIWA NA VICHWA VIWILI..JIONEE

DSC00655
Mbuzi mmoja katika Kijiji cha Kakanjuni Kenya amezaa mbuzi mwenye vichwa viwili vilivyoungana huku akiwa na midomo miwili, tukio hili limewashangazawengi walioshuhudia huku wengine wakihisi kwamba mbuzi huyo ni mkosi.

Tuesday, 17 March 2015

YULE MSIEMPENDA KAACHIWA HURU..SASA NGUMI ZOTE ULINGONI..

cheeeUnakumbuka ile skendo iliyompata bondia wa ngumi nchini Francis Cheka baada ya kumpiga na kumuumiza meneja wa baa yake akimtuhumu kusababisha hasara?

Thursday, 5 March 2015

MVUA YA MASAA MAWILI YALETA MAJANGA MKOANI SHINYANGA,,ZAIDI YA WATU 30 WAPOTEZA MAISHA

'Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kiamkia leo imeuwa watu zaidi ya 50 na wengine zaidi ya 80 kujeruhiwa katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Mvua hiyo iliyonyesha majira ya saa 4 za usiku ilidumu kwa muda wa masaa mawili ikiambatana na upepo mkali na mawe yaliyopelekea watu hao kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa na kuharibu mazao  pamoja na miti .

Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga Justus Kamugisha alifika eneo la tukio akiwa sambamba na mkuu wa wilaya ya Kahama Benson Mpesya ambao wametoa pole kwa wafiwa pamoja na mikakati ya serikali kuangalia utaratibu wa kusaidia kaya zilizobakia.
Hata hivyo bado idadi kamili ya athari kwa ujumla ukiacha vifo vya watu haijatolewa.

Mi naungana na waombolezaji kuwapa pole ndugu jamaa na marafiki walioondokewa  na ndugu zao katika janga hili.'
Vua kubwa iliyonyesha usiku wa kiamkia leo imeuwa watu zaidi ya 50 na wengine zaidi ya 80 kujeruhiwa katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Tuesday, 3 March 2015

Wimbo wa Marehemu Kapteni Komba Wamliza Rais Kikwete,Ally hassan mwinyi.

Wimbo wa John Komba aliouimba katika msiba wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1999, jana uliibua majonzi na kusababisha viongozi mbalimbali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, kutoa machozi ulipoimbwa kumuaga mbunge huyo.Wimbo huo uliobadilishwa maneno yanayohusu Mwalimu Nyerere na kuingizwa yanayomtaja mbunge huyo wa Mbinga Magharibi, mbali na Rais Kikwete ulimliza pia Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba na waombolezaji wengine.
Sehemu ya mashairi ya wimbo huo uliokwenda kwa jina la “Nani Yule” ulioimbwa na wanamuziki mbalimbali wa bendi nchini, na kuwatoa watu machozi iliimbwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
“Kapteni Komba familia yako umeiacha na nani, chama chako umekiacha na nani, nenda baba msalimie Mwalimu, mweleze hali ya Watanzania ilivyo hivi sasa, mweleze hali ya nchi yetu ilivyo hivi sasa hasa wakati huu, msalimie Mzee Kawawa Simba wa Vita”
Baadhi ya wanamuziki walioshiriki kuimba wimbo huo ni King Kiki, Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlata, Jose Mara ambaye ni mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu na Luiza Mbutu wa African Stars.

Thursday, 26 February 2015

Msanii Temba Kutoka TMK Wanaume Apandishwa Mahakamani kwa Kutishia Kuua

Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Amani James aka Mh Temba jana amefikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Temeke jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua kwa kisu kutokana na wivu wa mapenzi.

Breaking News: Chid Benzi Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili Jela au Kulipa Faini ya sh. 900,000


Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.

Haya matano ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Sauti yake kutoka @PB CloudsFM

1890627_780321122049682_415026655172911331_o
DC wa Kinondoni, Paul Makonda

Power Breakfast ilikuwa hewani asubuhi ya leo February 26, mgeni rasmi ambaye alipata nafasi ya kufanya mahojiano ni Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Paul Makonda ambaye vyombo vya habari vilikuwa na headlines nyingi kuhusu yeye tangu siku ambayo alitangazwa kuwa DC mpya wa Wilaya hiyo.

Hatimaye Kinyesi cha Mwalimu Kilichokuwa Kwenye Chumba Chake Kwa Miezi Kadhaa Chateketezwa



Manispaa ya Temeke leo imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.

Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika ‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa.

Mzee Malecela amekitaka Chama cha Mapinduzi Kumchukulia hatua kali za kinidhamu Lowassa



Maneno aliyosema mwl. Nyerere kuwa IKULU sio pango la walanguzi usikimbilie kwenda IKULU ni mahali patakatifu mtu yeyote anayekimbilia IKULU bila kujiuliza mwogopeni hafai kuwa Rais. Maneno hayo ya mtu kukimbilia IKULU aliyarudia kuyasema Waziri mkuu mstafu mzee John Malecela.

Wednesday, 25 February 2015

MZEE WA MIAKA 90 APIGA MAZOEZI KAMA KIJANA WA MIAKA 20..KIONEE HAPA VIDEO

WAZALIWA NA MAMA MMOJA ,WAUAWA NA KUTOLEWA MIOYO YA NA MAMA YAO.NA HII NDIO SAFARI YAO YA MWISHO..


SAMSUNG
Moja ya taarifa kutoka Nairobi Kenya ambayo ilisikitisha sana ni tukio la watoto watatu kuuawa na mwanamke mmoja ambaye baada ya kuwaua halafu akawapasua na kula mioyo ya watoto hao.
Mwanamke huyo Catherine Muthoni alimuua mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka kumi na baadaye kuua watoto hao wawili wa jirani.SAMSUNG
Tukio la leo katika eneo la makaburi ya Lang’ata limewatoa wengi machozi wakikumbuka jinsi watoto hao walivyofariki kwa mateso ambapo familia ya watoto hao wameamua kufanya mazishi ya watoto wote wawili kwenye kaburi moja.SAMSUNG
Mwanamke huyo anashikiliwa na Polisi kesi yake ikiendelea ambapo Mahakama iliagiza afanyiwe uchunguzi kama ana matatizo ya akili huku upelelezi wa kesi yake ukiendelea.

Monday, 16 February 2015

JIONEE HAPA PICHA ZA MWISHO ZA SAFARI YA BABA AKE DULLY SYKES..MZEE EBBY SYKES...VIONGOZI WA SERIKALI NA WASANII WAONYESHA USHIRIKIANO WA KUTOSHA...

.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki na Jaji mstaafu Joseph Warioba leo Feb 16 wameungana na  wananchi mbalimbali kwenye mazishi ya muimbaji mkongwe wa muziki nchini, Ebby Sykes ambaye ni baba mzazi wa msanii Dully Sykes.

Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji

Wahamiaji kutoka Afrika wakiwa wameokolewa na walinzi wa pwani ya Italia katika bahari ya Mediterani
Kikosi cha ulinzi wa pwani ya Italia kimesema kimewaokoa zaidi ya wahamiaji elfu mbili wakisafiri katika maboti katika bahari ya Mediterani-- katika operesheni kubwa kuliko zote kufanywa kwa wakati mmoja mpaka sasa.

Sunday, 15 February 2015

Alikua na ndoto za kumiliki gari la kifahari aina ya Lamborghini…akaamua kutengeneza hivi!

lambo
Baada ya kuwa na ndoto za kuendesha gari ya kifahari aina ya Lamborghin huku akiwa hana uwezo wa kununua gari hiyo Yu Jietao raia wa Jiangx,

Friday, 13 February 2015

Mtoto wa miaka sita atoa mpyal, amuomba Mourinho na Diego costs Waiokoe timu yake ya Aston Villa…

Shabiki mwenye umri wa miaka 6 wa Aston Villa akionyesha barua aliyoandika kwa Mourinho akimuomba aje kuiokoa timu yake .
Saa 24 zilizopita zimekuwa ngumu sana kwa mashabiki wa klabu ya Aston Villa ambao wameishuhudia timu yao ikianguka kwenye janga la kushuka daraja baada ya mfululizo wa matokeo mabaya.

Hii namuhusu mtoto wa mwigizaji maarufu duniani Jackie Chan..



jackie 
Kitendo cha mtoto wa mwigizaji maarufu China Jackie Chan aitwaye Jaycee Chan kukamatwa na dawa za kulevya nyumbani kwake kilimfedhehesha sana baba yake kutokana na kuwa mtu maarufu ndani ya nchi hiyo na duniani kote.

Thursday, 12 February 2015

JIONEE HAPA KICHAPO KILIVYOTEMBEA KATIKA BUNGE LA AFRICA KUSINI...

Members of Julius Malema's Economic Freedom Fighters (EFF) clash with security officials after being ordered out of the chamber during President Jacob Zuma's State of the Nation address in parliament in Cape Town
Wabunge wenzake na Julius Malema wenye nguo nyekundu wakitolewa nje ya Bunge Afrika Kusini jana jioni February 12

JIONEE HAPA KICHAPO KILICHOTEMBEA KATIKA BUNGE LA AFRICA KUSINI

Baada ya Waziri Wasira Kupata Aibu ya Suti, Sasa Asalimu Amri Amkimbilia Sheria Ngowi Kuokoa Jahazi, Sasa Mwendo wa Single Button


Baada ya Babu yetu Mh Wasira kuaziriwa na suti mbele ya watu kwa kufunga vifungu vibaya na kuwa gumzo kubwa mtandaoni na watu kumkejeli sana , unaambiwa sasa kaamua kuwakata watu vidomo kuanzia sasa

LULU ATAMBA KUWA BABA AKE NI HANDSOME...

Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa

Huyu ndo Kiongozi wa Kikundi cha Kigaidi Kinachoua Polisi na Kuiba Silaha Kwenye Vituo Nchini.....Anaitwa Kaisi Bin Abdullah


HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!

Monday, 9 February 2015

Utafiti kuhusu watu ambao hufanya zaidi tendo la ndoa

couple2_rgb
Katika hali ya kawaida imezoeleka kuwa tendo la ndoa au mapenzi hufanywa zaidi na vijana kwa sababu miili yao imechangamka na pia ina nguvu kuliko ya watu wazima na afya ya kuhimili tendo hili lakini pia ule mvuto wa mapenzi nao huwa mkubwa miongoni mwa vijana.

Tuesday, 3 February 2015

Cristiano Ronaldo kuuzwa kwa dau hili hapa......



dimpo 
Katika yale yaliyosikika mfululizo kuhusu staa wa soka DUNIANI, Cristiano Ronaldo kuna ishu ya kuachana na mpenzi wake, ipo ya sanamu kubwa kujengwa nyumbani kwao Ureno kama ishara ya kuheshimu anavyoipa sifa nzuri nchi hiyo duniani, lakini pia ana tuzo yake ya Ballon d’Or, mwanasoka bora wa kiume duniani.
Ubora wake unampa thamani kubwa, wakala wake ametangaza dau kubwa kwa klabu yoyote ambayo itakuwa tayari kumnunua staa huyo muda wowote kuanzia sasa.

Huyu ndiye aliewekewa mikono ya mtu mwingine..jionee hapa

opppMadaktari katika Chuo cha Tiba cha Amrita, Kochi huko India wamefanikiwa kufanya upasuaji wa aina yake wa kupandikiza mikono mipya kwa binadamu aliyekatika viungo hivyo.

RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AITEMBELEA TANZANIA TAZAMA MAPOKEZI YAKE YALIVYOKUA..


Rais wa Ujerumani Mh. Joachim Gauck  akiwa ameambatana na mkewe Bibi Schadt akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam.

Thursday, 22 January 2015

HICHI NDICHO ALICHOKISEMA MAKAMBA JUU YA CHAMA CHAKE..

Siku chache baada ya matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuonyesha kuwa CCM, imeporomoka, Mbunge wa Bumbuli,

Shindano la Nani Mkali: Jokate na Lulu Michael ...Aya ndio matokeo..

Mwanamitindo  na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini.

HII NDIYO NDEGE INAYOPAA KUTUMIA NISHATI YA JUA..JIONEE HAPA VIDEO YAKE IKIWA ANGANI,,

solar
Dunia na teknolojia yake, kila siku kuna mapya kwa hiyo hatutoacha kushangazwa nayo kila yanapojitokeza.
Nikufahamishe kwamba hii ndege inaitwa ‘Solar Impulse 2′, inatumia mwanga wa jua tu kuzalisha nguvu ya umeme ambayo inaifanya iruke.

Wednesday, 21 January 2015

JE WANAWAKE WA MJINI KUJIFUNGUA KWA NJIA HII NI BIASHARA AU NI UOGA..SOMA HAPA...

Kati ya wajawazito 20 wanaofika mahospitalini kwaajili ya kujifungua 16 wanajifungua kwa operation na hii hutokea sana katika private hospital.

CHEKI HAPA CHANNEL MPYA YA TV AMBAYO ITAKUWA GUMZO AFRIKA .....


Habari njema kwa wasanii na waandaaji wa vipindi vya utamaduni pamoja na 

ngoma za asili....Chanel mpya inayopatikana startv ndan ya king'amuz cha 

continental Chanel namba 109 Star Afroculture inapokea kazi hizo pamoja na 

mahojiano na wasanii mbali mbali....wasilisha kupitia email yetu. wasiliana 

ZITO KABWE ATOA YA MOYONI KUHUSU CHADEMA…SOMA HAPA......


Zitto-KabweZitto Kabwe ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, mwanzoni mwa 2014 kulikuwa na story ya mgogoro kati yake na Chama cha CHADEMA.
Magazeti yaliyotoka siku chache zilizopita yaliripoti taarifa ya Mbunge Zitto Kabwe kurudi tena CHADEMA, millardayo.com imepata exclusive interview na Zitto Kabwe, kazungumzia shu hiyo.

Jina la Ikulu ya Tanzania Latumika Katika Utapeli wa Ajira, Ikulu yatahadharisha Juu ya Utapeli Huo

Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu jijini Dar es salaam nchini Tanzania imetoa tahadhari kwa wananchi juu ya kuwepo kwa baadhi ya watu ambao ni matapeli na wanatumia vibaya jina la ikulu kwa kusema kwamba kuna nafasi za ajira na wana uwezo wa kuwapatia ajira kwa kutoa fedha.

Tuesday, 20 January 2015

HAYA NDIO MAAJABUNdugu wa marehemu wameukosa mwili wa mtu wao, kaburi halikuachwa wazi!tazama hii video Video

http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/K24.jpgMwili wa mtu aliyeuawa na mamba katika Ziwa Baringo, Kenya mwezi December inasemekana umezikwa bila idhini ya  familia ya mtu huyo.
Inatolewa inapelekwa mahali pengine ambayo hata hatujui ni ajabu sana… Sisi tumesema tunataka mwili wa mtoto wetu, tunataka mwili wa mtoto wetu mara moja” alisema ndugu wa marehemu.

CHUKUA TIME YAKO KUTAZAMA VIDEO HII MPYA..Hello Baby - Avril ft Ommy Dimpoz

Mwigulu Nchemba kuhusu Urais, Escrow, kiongozi wa Upinzani anayemvutia huyu hapa,,

Kama umepitwa na show ya Mkasi, hii ilikuwa ya Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, mengi kayazungumza humu ikiwemo ishu ya kutangaza kugombea Urais, Escrow, skafu yake na pia kamtaja kingozi wa upinzani anayemvutia.
Ishu ya kutamani kugombea Urais; “Hata kama ningetamani kwa kiwango gani, kama sitatimiza majukumu haya niliyopewa hakuna mtu atakayeniamini…
Rais wa awamu ya nne ameweka rekodi yake ya kutokulinda wahalifu… Ni Rais huyu huyu aliruhusu Waziri wake Mkuu ajiuzulu, ukiangalia kwenye rekodi ni Mawaziri wengi sana wameondoka. Mimi naamini anachotafuta ni hicho tu kutenda haki…” hapa alikuwa akizungumzia ishu ya maamuzi ya Rais kuhusu Escrow.
Nchemba I
Kuhusiana na ishu ya Wafanyakazi wa TRA waliosababisha hasara ya Kodi, Nchemba alisema;