Maisha popote… inavutia kuona ubunifu na
Teknolojia vinatuletea vitu vipyavipya Duniani… Pesa yako ndio inaamua
wapi uishi, wapo wenye nazo ambao watavutiwa kuwa na maisha yao ndani ya
hii gari ya kifahari !!


Msanii wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki siku ya juzi February 28.
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo. |



Wahamiaji kutoka Afrika wakiwa wameokolewa na walinzi wa pwani ya Italia katika bahari ya Mediterani





Zitto Kabwe ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, mwanzoni mwa 2014 kulikuwa na story ya mgogoro kati yake na Chama cha CHADEMA.
Mwili wa mtu aliyeuawa na mamba katika
Ziwa Baringo, Kenya mwezi December inasemekana umezikwa bila idhini ya
familia ya mtu huyo.