Monday, 9 December 2013

KENYA YAANZA KUPATA MCHECHETO NA MECHI YA KESHO DHIDI YA KILI STARS.

wanaumeclip_87539.jpg
KENYA imeingia mchecheto na makali ya Kilimanjaro Stars na sasa imebainika kwamba Kocha Adel Amrouche ndiye aliyesisitiza mechi ikachezwe Machakos badala ya Mombasa.
Kenya itacheza na Stars kesho Jumanne kwenye mechi ya nusu fainali ya Chalenji kwenye Uwanja wa Kenyatta mjini Machakos.

MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA.,WATOTO WA HALAIKI WAFANYA KWELI..



jkuhuruRais Jakaya Mrisho Kikwete leo ameongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

BUNGE LA AFRICA KUSINI KUMUENZI MANDELA



Misa ya wafu itafanyika siku ya Jumanne
Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.
Kikao cha leo kinafanyika mwonzoni wa wiki ya shughuli mbali mbali za kumuenzi Mandela kabla ya mazishi yake tarehe 15 Disemba.

Thursday, 5 December 2013

KIKWETE ATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA MANDELA,,,BENDERA ZOTE ZITAPEPEA NUSU MLINGOTI

 
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.. .     Rais wa Tanzania  Jakaya Kikwete.

Tanzania imetangaza siku tatu za maombolezo kuanzia tarehe 6 hadi 8 Desemba, 2013, kufuatia kifo cha rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Rais Jakaya Kikwete wa nchi hiyo pia ameagiza kuwa katika kipindi hicho cha siku tatu bendera zote zitapepea nusu mlingoti.

HUU NDIO MSHAHARA WA WAZIRI MKUU WA TANZANIA,,TOFAUTI KIDOGO NA WA RAIS


news 11 
Waziri Mkuu amedai bungeni muda huu kwamba mshahara wake hauzidi Tsh. 6mil na akadai wanaodai analipwa zaidi ya hapo ni uzushi mkubwa kiasi kwamba yeye ni mkopaji tu katika mabenki na kuwa mshahara huo ni pamoja na mapato ya mkewe.

IFAHAMU HISTORIA FUPI YA RAIS NELSON MANDELA

Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai, mwaka 1918. na alifariki mwaka 2013/Decemba/tarehe 5 Ni rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia nchini AfrikNelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai, mwaka 1918. na alifariki mwaka 2013/Decemba/tarehe 5 Ni rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia nchini Afrika Kusina Kusini

CRISTIANO RONALDO, ASHLEY COLE, PIQUE, LEBRON JAMES WAWONGOZA WANAMICHEZO KUMKUMBUKA HAYATI NELSON MANDELA

Saturday, 30 November 2013

MBWANA SAMATA NA THOMAS ULIMWENGU KUVAA MEDALI ZA DHAHABU LEO?


SAMATTA+SUPER+CUP+DRCWASHAMBULIAJI kutoka Tazania Mbwana Ally Samatta na Thomas Emanuel Ulimwengu leo watakuwa wanawania Medali za Dhahabu za michuano ya Afrika wakati klabu yao ya Tout Puissant Mazembe itakapokuwa inacheza na CS Sfaxien ya Tunisia hii itakua mara ya kwanza kwa Wachezaji wa kitanzania kuwania medali hizi.

TID AKAMATWA NA POLISI JANA USIKU.


Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake,  Mariam Nnauye.

AZAM YAMPA MKATABA WA MIAKA MIWILI KOCHA WA AKINA ETO’O



KLABU ya Azam leo imemtambulisha kocha wake mpya, Joseph Marius Omograia wa Cameroon iliyempa Mkataba wa miaka miwili kuanzia leo. Omog anatua Azam akitokea klabu ya A.C Leopards ya Kongo Brazavville ambayo aliiwezesha kutwaa ubingwa wa ligi ya nchi hiyo kwa misimu miwili mfululizo (2012 na 2013) na kumaliza ukame wa mataji wa miaka 30. 
Mwenyekiti wa Azam FC, Sheikh Said Mohammad kulia akimtambulisha kocha mpya, Omog katikati leo

MAPENZI NI NOUMA,,KIJANA AUKATA UUME WAKE KUEPUSHA USUMBUFU WA WANAWAKE HUKO TABORA.



Ayubu Mnazi Alphonce(24) ni kijana ambaye amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete akipatiwa matibabu baada ya kuamua kuukata uume wake kwa kutumia wembe mpya ili kuepukana na usumbufu anaoupata kutoka kwa wanawake ambao amekuwa nao kimapenzi........ Imeelezwa kuwa baada ya kutokea mfarakano baina yake na mwanamke mmoja ambaye jina lake halijafahamika,Ayoub aliamua kuingia ndani na kuukata uume wake kwa kutumia wembe mkali na kisha kuutupa nje
Taarifa kutoka Jeshi la Polisi zinaeleza kuwa baba mzazi wa Ayubu baada ya kubaini kuwa mtoto wake alikuwa amejifungia chumbani kwa muda mrefu, aliamua kumgongea mlango na alipopata fursa ya kuingia ndani ndipo alipogundua ukweli juu ya jambo hilo na hivyo kumpeleka Ayubu Kituo kikubwa cha Polisi Tabora ambapo jalada la kesi ya kujidhuru lilifunguliwa.
Hata hivyo hali ya Ayubu kwasasa inaendelea vizuri licha ya kuwa amejikata na kubakisha kipande cha sentimeta 5 huku akisubiriwa kufikishwa mahakamani kwa kutenda kosa hilo la kujidhuru mwenyewe pasipo sababu za msingi.

Tuesday, 12 November 2013

P-FUNK 'MAJANI' APATA AJALI MBAYA AKIWA CHOONI....APASUKA KICHWANI NA KUSHONWA NYUZI 12


Paul Matthysse ‘P-Funk’ akionesha jeraha alilolipata kichwanibaada ya kuanguka chooni.
LEGEND wa kuzalisha mapigo ya muziki Bongo, Paul Matthysse ‘P-Funk’, amepata ajali ya kushangaza chooni, nyumbani kwake, Mwenge Kijijini, Dar es Salaam.

HUU NDIO MJENGO MWINGINE WA DIAMOND AMBAO UPO KWENYE HATUA ZA MWISHO ILI KUKAMILIKA

Kijana anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz mambo si mabaya kwake baada ya kuonyesha mjengo wake mwingine wa hatari ambao bado upo katika ujenzi.  

 
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram,Diamond jana ame-share picha ya nyumba hiyo na chini akatia neno..Shuka nayo.

HII ALAMA YA VIDOLE 4 IMEMFANYA MCHEZAJI WA MISRI KUADHIBIWA.


Egypt 11
Unaambiwa club ya Al Ahly imemuadhibu mchezaji wake aitwae Ahmed Abdul Zaher kwa kitendo alichofanya cha kuonyesha alama za vidole kama unavyomuona hapo chini ikiwa ni ishara ambayo imekua ikitumiwa na wanaomuunga mkono rais Mohammed Morsi aliepinduliwa July 2013 na kwa sasa anakabiliwa na kesi ya kuchochea mauaji.

PICHA ZA DIAMOND AKIWA NIGERIA KUFANYA VIDEO YA NUMBER ONE REMIX NA MTU MZIMA DAVIDO


Anaitwa Mama Hilda,muigizaji mkongwe nchini Nigeria
                                           
Ni siku kadhaa sasa tangu 
niwasili nchini hapa,lengo likiwa ni moja tu,
          kuunganisha music wetu na wenzetu wa Nigeria,nitashoot video
 ya number one remix
                                    with my nicca Davido ,pamoja na kumalizia kazi niliyofanya 
na mwanamziki mwingine wa hapa 
                               Nigeria..kikubwa ni kuendeea kuwapa mashabiki zangu kile haswa                 mnachokistahili kutokana na sapoti kubwa
 mnayoendelea kunipa..

JANGA JINGINE NCHINI UFILIPINO,WATU ZAIDI YA 10,000 WANAHOFIWA KUFARIKI.

017217323_35400_2f32e.jpg
Wanajeshi na polisi wa Ufilipino wamepelekwa katika miji ilioathirika na kimbunga kikali kuwahi kuipiga nchi hiyo ili kudhibiti wizi wa mali unaohatarisha juhudi za kutoa misaada ya kibinaadamu kwa waathirika.

PICHA ZA MASTAAWANAPOJUTIA KUWA NA TATTOO MAMBO KAMA HAYA HUTOKEA


Producer Pharrell Williams alishawahi kukiri kuwa alipata maumivu makali sana wakati anafuta tatto alizochora wakati wa ujana wake na akajutia kitendo hicho. Alikuwa muoga wa magonjwa atakayopata baada ya tattoo kufutwa na mionzi mikali kwenye mwili wake inayoweza kusababisha saratani na magonjwa mengine.

Saturday, 9 November 2013

MANCHESTER UNITED V ARSENAL.OLD TRAFFORD KESHO,HIZI NDIZO TAKWIMU ZA TIMU HIZI


ARSENAL_TEAM-INDONESIAMAN_UNITED-DAVID_MOYES_BENCH
 Tayari Mechi 10 zimeshachezwa kwenye Ligi na Arsenal bado wanachanja mbuga wakiwa Tayari Mechi 10 zimeshachezwa kwenye Ligi na Arsenal bado wanachanja mbuga wakiwa hawajafungwa tangu wabamizwe 3-1 na Aston Villa kwenye Mechi ya kwanza ya Ligi Msimu huu.

MOURINHO ALIA NA RATIBA LIGI KUU ENGLAND

MOURINHO-CHELSEA_TRAINING

 MENEJA wa Chelsea Jose Mourinho amedai Watu ambao wanatengeneza Ratiba ya Ligi Kuu England wanaicheka Timu yake.
Akiongelea kuhusu Mechi yao ya Ligi ya Jumamosi na West Bromwich Albion, Mourinho amelalamika kuwa kupewa Siku 3 toka Mechi yao ya UEFA CHAMPIONZ LIGI na Schalke waliyocheza Jumatano na kucheza tena Jumamosi wakati Klabu za Jiji la Manchester, Man United na Man City, na Arsenal zina Siku 4 toka Mechi zao za Ulaya sio sawa.

KLABU YA SIMBA YAWEKA WAZI USAJILI MPYA


julio_31d1c.jpg
SIMBA imepanga kuongeza kiungo mkabaji, beki wa kati na mshambuliaji kwenye dirisha dogo la usajili ingawa pia imedai itaangalia kwa jicho la tatu nafasi ya kipa inayoonekana kusuasua.
Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelu 'Julio' alisema nafasi hizo ndizo zimeonekana zina mianya.
Julio, ambaye kikosi chake kina wachezaji 26 alisema wanahitaji kujipanga upya na watawasilisha mapendekezo yao kwa uongozi.

Monday, 4 November 2013

MOYES AWATAKA MAREFA KUMLINDA JANUZAJ KAMA MESSI

KOCHA David Moyes amesema winga Adnan Januzai lazima alindwe na marefa baada ya Sascha Riether kuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa chini ya sheria mpya baada ya marefa kutoona tukio uwanjani . 
Mshambuliaji huyo kinda alikuwa alichezewa rafu na beki huyo wa Fulham, United ikishinda 3-1 Uwanja wa Craven Cottage Jumamosi. 
Refa Lee Probert na wasaidizi wake hawakuona tukio hilo wakati linatokea, lakini marudio ya picha za video yanaonyesha vizuri. 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Mlinzi: Marouane Fellaini akiwa na Adnan Januzaj, ambayealichezewa rafu na Sascha Riether Jumamosi

HII NDIYO NYUMBA YENYE THAMANI YA DOLA MILLION 48,INA UWANJA WA NDEGE HAPO HAPO NYUMBANI



article-2486741-1923386700000578-170_634x475
Nyumba hii ipo huko Las Vegas na ina acre 40 na indoor car parking kubwa sana kuingiza magari zaidi ya kumi kwa wakati mmoja. Upande wa mwingine ina zoo humohumo ndani,jet inayopark kwenye airport yako binafsi hapo mjengoni haina haja ya kwenda kwenye public airport. Ukitaka kumiliki hii nyumba inabidi zikutoke $ 48 millioni.

Saturday, 2 November 2013

MASHABIKI SIMBA WATAKA WACHEZAJI WAKONGWE WARUDISHWE

mashabiki_wa_simba_wakifurahia_ushindii_dc4d7.jpg
MASHABIKI WA SIMBA 
Mashabiki Simba wamepiga kelele na kutala benchi lao la ufundi libadilike na kuwarudisha wachezaji wakongwe.

PINDA, MAWAZIRI HATARINI KUNG'OLEWA


Waziri Mkuu Mizengo Pinda pamoja na mawaziri wake wawili; Khamisi Kagasheki (Maliasili na Utalii) na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo, Dk Mathayo David wameingia matatani kutokana na shinikizo linalowataka wang’oke katika nafasi zao.

DIAMOND AUTIBUA MSAFARA WA RAIS


STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Alhamisi iliyopita alijikuta akiutibua msafara wa Rais wa Zanzibar, Dk. Mohamed Shein kufuatia kuondoka kwenye msiba wakati ilitangazwa kiongozi huyo ndiye aliyetakiwa kuanza kuondoka

Friday, 1 November 2013

LEWANDOSKI ATUMA SALAMU KWA ARSENAL! APIGA HETITRIKI, DORTMUND YAIBONDA STUTTGART 6-1!

Robert Lewandowski amepiga Bao 3 wakati Borussia Dortmund ilipotoka nyuma na kuibamizaStuttgart Bao 6-1 na kutua kileleni mwa Bundesliga.
Karim Haggui aliifungia Stuttgart Bao lao mapema lakini Sokratis Papastathopoulos akasawazisha kwa kichwa na Marco Reus kufunga Bao la pili kwa Dortmund.
Ndipo zikaja Bao 3 za Lewandowski na Pierre-Emerick Aubameyang kumalizia Bao la 6.

LIGI KUU UINGEREZA NI PATASHIKA JUMAMOSI HII EMIRATES, ARSENAL v LIVERPOOL!

>>WENGER ANAAMINI GIROUD NI KIBOKO KUPITA ‘SAS’, SUAREZ & STURRIDGE!
>>CHELSEA KUFUNGUA JUMAMOSI ST JAMES PARK NA NEWCASTLE!!
>>MABINGWA MAN UNITED NDANI YA CRAVEN COTTAGE NA FULHAM!!
>>MAN CITY: KIPA JOE HART BENCHI…. PANTILIMON NAMBA 1!!
RATIBA
Jumamosi Novemba 2
[Saa za Bongo]
1545 Newcastle v Chelsea

1800 Fulham v Man Utd

1800 Hull v Sunderland

1800 Man City v Norwich

KOBE HUYU ANAVUTIA SIGARA 10 KWA SIKU



Meet-A-Turtle-That-Smokes-10-Cigarettes-A-Day.jpg2
Maajabu hayaishi duniani na kila siku yanajitokeza maajabu mapya ambayo hukuwahi kutarajia kuyashuhudia maishani mwako . Nchini Japan kuna kobe ambaye amejiingiza kwenye tabia ya uvutaji wa sigara na mpaka sasa anavuta sigara kumi kwa siku.

YANGA YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA JKT RUVU 4 - 0.YAPAA MPAKA NAFASI YA KWANZA.


Kikosi cha Young Africans kilichoanza leo dhidi ya JKT Ruvu

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Young Africans leo imekamata kiti cha uongozi baada ya kuendeleza wimbi la ushindi mfululizo kwa kuichapa timu ya Maafande wa jeshi la Kujenga Taifa nchini JKT Ruvu kutoka mkoani Pwani kwa mabao 4- 0 mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Kikosi cha mholanzi Ernie Brandts kiliingia uwanjani kwa lengo la kuhakikisha kinapata pointi 3 muhimu , jambo ambalo vijana wake walilitekeleza na kuwapa furaha washabiki, wapenzi na wanachama wa klabu ya Yanga waliokwepo uwanjani kushuhudia mchezo huo.
 
Mshambuliaji Mrisho Ngassa aliipatia Young Africans bao la kwanza dakika ya 3 ya mchezo kwa shuti kali baada ya kuwatoka walinzi wa JKT Ruvu na kumtazama amekaa vipi mlinda mlango wa JKT Ruvu na kuukwamisha mpira wavuni.
 
Dakika ya 12 ya mchezo, Mrisho Ngassa tena aliwainua vitini mashabiki wa timu ya Young Africans baada ya kumalizia mpira ulipogwa na Saimon Msuva kabla ya kuwababatiza walinzi wa JKT Ruvu na kumkuta mfungaji ambaye aliukwamisha mpira wavuni kwa kichwa.
 
Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika, JKT Ruvu 0 - 2 Young Africans .
 
Kipindi cha pili cha mchezo ulianza kwa kasi na Young Africans kupata bao la tatu la mchezo dakika ya 47 kupitia kwa Oscar Joshua ambaye alikutana na mpira uliokolewa walinzi wa JKT na kumkuta mfungaji ambaye alifunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na klabu ya Yanga miaka mitatu iliyopita.
 
Mabadiliko yaliyofanya na kocha mholanzi Ernie Brandts kuwaingiza Reliants Lusajo, Ibrahim Job na Jerson Tegete yaliongeza kasi na uwezo wa kumiliki mchezo kwani waliweza kucheza vizuri na kulilinda lango lao lisipatwe na madhara yoyote.
 
Dakika ya 89 Jerson Tegete aliipatia Yanga bao la nne la mwisho katika mchezo huo kufuatia migongeo ya Saimon Msuva na Ngassa kabla ya kumkuta Tegete akiwa peke yake na kuukwamisha mpira wavuni.
 
Mpaka dakika 90 za mchezo zinamalizika, JKT Ruvu 0 - 4 Young Africans

Young Africans: 1.Dida, 2.Twite/Job, 3.Oscar, 4.Cannavaro 5.Yondani/Lusajio, 6.Chuji 7.Msuva 8.Domayo, 9.Kavumbagu/Tegete, 10.Ngassa, 11.Kiiza

Thursday, 31 October 2013

PICHA ALIZOTOA KARRUECHE KITHIBITISHA KUWA BADO YUPO NA CHRIS BROWN




Aka kama hakuwa mahakamani na Chris Brown wakati anasomawe  mashtaka ya kupiga mtu hivi karibuni, Mpenzi wa muda mrefu wa Chris Brown, Karrueche anapenda ufahamu kuwa uvumi wa yeye na Chris Brown kuachana sio kweli na kwamba bado wapo pamoja

SALAMU ZA PONGEZI ZAMIMINIKA KWA MALINZI

sepp-blatter_4e5fb.jpg
Rais mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Jamal Malinzi ameendelea kupokea salamu za pongezi baada ya kushinda wadhifa huo katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 27 mwaka huu.
Salamu nyingine za zimetoka kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Sepp Blatter ambapo amempongeza Malinzi kwa kuchaguliwa na kumtakia kila la kheri katika majukumu yake ya kuongoza mchezo huo nchini.

MARUBANI WALIOTOROSHA TWIGA WALITUMIA HATI ZA KIDPLOMASIA


twigapx_051a7.jpg
Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Moshi, imeelezwa kuwa marubani wa ndege ya kijeshi ya Qatar, walitumika katika kutorosha twiga wanne kwenda Uarabuni na kwamba washtakiwa walikuwa na hati za kusafiria zenye hadhi ya kidiplomasia.

RAIS WA FIFA SEPP BLATTER AOMBA RADHI KWA CHRISTIANO RONALDO NA KLABU YA REAL MADRID.

Rais WA FIFA Sepp Blatter amelazimika kuomba radhi kwa maneno aliyoyatoa dhidi ya Cristiano Ronaldo wakati alipokuwa anazungumza na wanafunzi wa chuo cha Oxford nchini Uingereza . Blatter alitoa maneno yalioonekana kama ya dhihaka dhidi ya Cristiano Ronaldo wakati alipokuwa anamzungumzia akijaribu kumfananisha na mchezaji wa Barcelona Lionel Messi

SIR ALEX FERGUSON AVUNJA REKODI NYINGINE - MAUZO YA KITABU CHAKE YAFUNIKA

Hot cakes: Fergie's book has been a quick seller
Hot cakes: Fergie's book has been a quick seller
REUTERS
Kitabu cha Sir Alex Ferguson kimeweka rekodi ya kuwa kitabu kilichooza kwa haraka zaidi ndani ya Uingereza kikiuza nakala 115,547 katika siku chache za mauzo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka The Bookseller, kitabu hicho cha mocha wa zamani wa Manchester United kimevunja rekodi ya  Delia Smith,  ambaye kitabu chake cha mwaka 1999 cha mapishi kiliuza kopi 112,000 katika wiki take ya kwanza.

Pia kitabu cha Fergie kimevunja rekodi ya mauzo ya kitabu cha rafiki yake waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair, ambacho kiliuza kopi 92,000 katika wiki ya kwanza.

VITABU VILIVYOUZA ZAIDI UK:
Sir Alex Ferguson - My Autobiography - 115,547
Delia Smith - How to Cook - book two - 112,000
Tony Blair - A Journey - 92,000
David Beckham - My Side - 86,000
Paul Burrell - A Royal Duty - 77,000

BARACK OBAMA ASHUSHWA NAMBA MOJA YA LIST YA MOST POWERFULL 2013,VLADIMIR PUTIN AONGOZA

.
forbes
Mtandao maarufu kwa kutoa list mbalimbali ikiwemo ya watu matajiri duniani, wakati huu wametoa list ya watu wenye nguvu sana duniani. Mwaka jana namba moja alikuwa rais wa taifa kubwa dunia Barrack Obama. Mwaka huu mambo yamekuwa tofauti kwa kumuona bwana Obama akishuka kutoka kwenye hiyo nafasi yake.

Watu wengine maarufu waliopo kwenye top five ni  Xi Jinping mwenyekiti wa chama cha kikomunisti cha China,Pope Francis,Angela Merkel kutoka Ujerumani na Vladimir Putin kutoka Russia ambaye ndiyo namba moja akifuatiwa na Barack Obama namba mbili. Untitled

BABU SEYA NA MWANAE PAPII KOCHA WAKATA RUFAA YA KIFUNGO CHA MAISHA JELA.

Babu Seya
Mahakama ya rufani Tanzania imeanza kusikiliza rufaa ya mwanamuziki maarufu Tanzania Nguza Viking (Babu Seya) na mwanae Johnson Nguza (Papii Kocha) ambao wanatumikia kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya ubakaji na ulawiti wa watoto.

Tuesday, 22 October 2013

ASHLEY YOUNG ASHINDWA KUELEWANA NA KOCHA WAKE DAVID MOYES.

Ashley-Young3
Klabu ya Manchester United imetajwa kuwa tayari kusikiliza ofa mbalimbali ziotakazokuja kwa ajili ya winga Ashley Young baada ya mchezaji huyu kushindwa kumridhisha kocha wa United David Moyes ambapo Ashley amekuwa kwenye kiwango cha chini tangu msimu huu ulipoanza na amekuwa moja ya watu wanaolalamikiwa sana na mashabiki wa United kwa kuonyesha kiwango cha chini.
Zaidi ya hapo kocha wa United David Moyes anaonekana kukerwa na tabia ya winga huyu ya kujiangushaangusha akiwadanganya waamuzi ili wampe penalty kama ilivyokuwa kwenye mchezo kati ya United na Crystal Palaca mapema msimu huu.
Manchester United inatarajiwa kufanya usajili mwezi January lakini mpango huo pia utahusisha baadhi ya wachezaji ambao wanatarajiwa kuondoka United ambao orodha yake pia inamjumuisha kiungo wa Japan Shinji Kagawa ambae ameshindwa kuingia kwenye kikosi cha kwanza tangu David Moyes alipoanza kazi kama kocha wa United.
David Moyes

WAAMUZI WA MECHI YA SIMBA NA YANGA WAPEWA ZAWADI YA MILLIONI 1 KWA KUCHEZESHA VIZURI



Makamu wa Pili wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Ramadhan Nassib ametoa sh. milioni moja kwa waamuzi waliochezesha mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam.

Sunday, 20 October 2013

LULU AONYESHA USHABIKI WA KWELI,NI BAADA YA MECHI YA SIMBA NA YANGA KUMALIZIKA KWA MAGOLI 3 - 3,


lulu3
Mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ilianzia kwenye mitandao ya kijamii na baada ya mechi mambo yanaendelea kwenye mitandao tena. Muigizaji Lulu ameonyesha waziwazi upande wake anaoshabikia kwa kuandika maneno haya kwenye account yake ya instagram.

BOKO HARAMU WAUA MADEREVA 19 NIGERIA


Mabaki ya magari ya madereva waliouawa na Boko Haram

JUSTIN BIEBER AZIDI KUKOSOLEWA KUTOKANA NA MABADILIKO YA TABIA

Mastaa wengi wa dunia wamewahi kuonekana kwenye matukio ya kuwa karibu na stripper ambapo miongoni mwao ni Ne-yo ambae hiki kitendo kiliwahi kumpa lawama nyingi na sio pongezi, hii ni kutokana na picha waliyokua nayo watu juu yake kwamba ni miongoni mwa mastaa ambao huwezi kuwaona wakichezea hela na kuzirusha kwenye mwili wa stripper." src="http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/10/Stripper-2.jpg" width="480" height="480" /> Mastaa wengi wa dunia wamewahi kuonekana kwenye matukio ya kuwa karibu na stripper ambapo miongoni mwao ni Ne-yo ambae hiki kitendo kiliwahi kumpa lawama nyingi na sio pongezi, hii ni kutokana na picha waliyokua nayo mashabiki  juu yake kwamba ni miongoni mwa mastaa wastaarabu wasiotaka sifa ambao huwezi kuwaona wakichezea hela na kuzirusha kwenye mwili wa stripper
Mastaa wengi wa dunia wamewahi kuonekana kwenye matukio ya kuwa karibu na stripper ambapo miongoni mwao ni Ne-yo ambae hiki kitendo kiliwahi kumpa lawama nyingi na sio pongezi, hii ni kutokana na picha waliyokua nayo mashabiki juu yake kwamba ni miongoni mwa mastaa wastaarabu wasiotaka sifa ambao huwezi kuwaona wakichezea hela na kuzirusha kwenye mwili wa stripper

HII NDIYO HELIKOPTA WALIYOTUMIA MAGAIDI KWENYE SHAMBULIZI LA WESTGATE NCHINI KENYA

Hii sio Helikopta iliyotumika siku ya tukio
Hii sio Helikopta iliyotumika siku ya tukio
Standard Media wametoa taarifa nyingine ambayo inazidi kulipa shambulio la Westgate nguvu ya kuendelea kumiliki vichwa vya habari baada ya kuripoti kwamba Magaidi waliofanya hilo shambulio Nairobi mwezi September walitumia helikopta ambayo inamilikiwa na mwanasiasa maarufu wa zamani nchini Kenya ambae taarifa hii haijamtaja.

Friday, 18 October 2013

MCHEZAJI WA NEWCASTLE UNITED APEWA DILI LA KUIGIZA MOVIE YA X



the-magpies-have-enjoyed-many-exciting-european-nights-including-famous-clashes-with-barcelona-one-of-which-featured-a-certain-tino-asprilla-1354337
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Newcastle United Faustino Asprilla amepwa ofa ya kuigiza filamu za ngono na kampuni moja inayojihusisha na utengenezaji wa filamu hizo nchini Colombia .

Tuesday, 15 October 2013

WANACHUO WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA WAMUENZI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE.

Wanachuo wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha(AJTC) Darasa la SELOUS wamemuenzi Baba wa Taifa MWALIMU JULIAS KAMBARAGE NYERERE kwa kwenda kutembelea hifadhi ya Taifa ya TARANGIRE  pamoja na MESERANI.

Ziara hiyo ni kumbukumbu ya kukumbuka siku ya kifo cha Baba wa Taifaikiwa ni miaka 14 toka afariki dunia tarehe kama ya jana mwaka 1999.


HIZI NI PICHA ZA BAADHI YA MATUKIO YA SAFARI HIYO.                                                                                               Mkufunzi wa Ajtc Madam Verediana

SIR ALEX FURGUSON AZIDI KUTHAMINIWA KWA BARABARA KUPEWA JINA LAKE,,HIZI NDIZO PICHA ZA BARABARA ZENYE JINA LAKE

12
Unaambiwa karibu kabisa na uwanja wa soka unaomilikiwa na club ya Manchester United ndio kuna barabara imepewa jina la Sir Alex Ferguson ambapo imefunguliwa rasmi na imepewa hilo jina kutokana na heshima aliyopewa Sir Alex na Trafford Council kutokana na mchango wake.
Sir Alex ambae ameshinda makombe nearly 40 kwenye miaka 26 aliyofanya kazi na kuwa kocha wa club ya Manchester United, alialikwa pia kwenye hili tukio la kutambulishwa rasmi kwa barabara yenye jina lake ambapo mwanzoni ilikua inaitwa Water’s Reach.
Namkariri Sir Alex akiongea baada ya tukio….. ‘Nilipowasili Old Trafford mwaka 1986 nilikua na idea ndogo kuhusu safari yangu, over quarter of a century later to receive the Freedom of the Borough of Trafford na kuwa na sehemu ya Trafford iliyo na jina langu ni heshima kubwa, nimefurahi na kushukuru’
7
8
Unaambiwa the Honorary Freedom is the highest honour which the council can bestow. Under Section 249 of the Local Government Act 1972 borough councils may admit as Honorary Freemen of the Borough “persons of distinction and persons who have, in the opinion of the Council, rendered eminent services to the Borough”

6Sir Alex na mashabiki wake..
5
4 
Councillor Matt Colledge, leader of the council, said: “Sir Alex has contributed significantly to Trafford over a sustained period of time through his strong leadership of the Manchester United team and it was felt that the Honorary Freeman title and the renaming of the street was a fitting tribute to him.
“Football contributes significantly to the borough through the large number of visitors it attracts and jobs it creates.
“It has been through the success of the team that the club has grown in strength over the years, becoming one of the world’s most successful and renowned clubs.”

3
2
1
Kabla ya kuitwa Sir Alex Ferguson way
Kabla ya kuitwa Sir Alex Ferguson way