Thursday, 31 October 2013

PICHA ALIZOTOA KARRUECHE KITHIBITISHA KUWA BADO YUPO NA CHRIS BROWN




Aka kama hakuwa mahakamani na Chris Brown wakati anasomawe  mashtaka ya kupiga mtu hivi karibuni, Mpenzi wa muda mrefu wa Chris Brown, Karrueche anapenda ufahamu kuwa uvumi wa yeye na Chris Brown kuachana sio kweli na kwamba bado wapo pamoja

SALAMU ZA PONGEZI ZAMIMINIKA KWA MALINZI

sepp-blatter_4e5fb.jpg
Rais mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Jamal Malinzi ameendelea kupokea salamu za pongezi baada ya kushinda wadhifa huo katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 27 mwaka huu.
Salamu nyingine za zimetoka kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Sepp Blatter ambapo amempongeza Malinzi kwa kuchaguliwa na kumtakia kila la kheri katika majukumu yake ya kuongoza mchezo huo nchini.

MARUBANI WALIOTOROSHA TWIGA WALITUMIA HATI ZA KIDPLOMASIA


twigapx_051a7.jpg
Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Moshi, imeelezwa kuwa marubani wa ndege ya kijeshi ya Qatar, walitumika katika kutorosha twiga wanne kwenda Uarabuni na kwamba washtakiwa walikuwa na hati za kusafiria zenye hadhi ya kidiplomasia.

RAIS WA FIFA SEPP BLATTER AOMBA RADHI KWA CHRISTIANO RONALDO NA KLABU YA REAL MADRID.

Rais WA FIFA Sepp Blatter amelazimika kuomba radhi kwa maneno aliyoyatoa dhidi ya Cristiano Ronaldo wakati alipokuwa anazungumza na wanafunzi wa chuo cha Oxford nchini Uingereza . Blatter alitoa maneno yalioonekana kama ya dhihaka dhidi ya Cristiano Ronaldo wakati alipokuwa anamzungumzia akijaribu kumfananisha na mchezaji wa Barcelona Lionel Messi

SIR ALEX FERGUSON AVUNJA REKODI NYINGINE - MAUZO YA KITABU CHAKE YAFUNIKA

Hot cakes: Fergie's book has been a quick seller
Hot cakes: Fergie's book has been a quick seller
REUTERS
Kitabu cha Sir Alex Ferguson kimeweka rekodi ya kuwa kitabu kilichooza kwa haraka zaidi ndani ya Uingereza kikiuza nakala 115,547 katika siku chache za mauzo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka The Bookseller, kitabu hicho cha mocha wa zamani wa Manchester United kimevunja rekodi ya  Delia Smith,  ambaye kitabu chake cha mwaka 1999 cha mapishi kiliuza kopi 112,000 katika wiki take ya kwanza.

Pia kitabu cha Fergie kimevunja rekodi ya mauzo ya kitabu cha rafiki yake waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair, ambacho kiliuza kopi 92,000 katika wiki ya kwanza.

VITABU VILIVYOUZA ZAIDI UK:
Sir Alex Ferguson - My Autobiography - 115,547
Delia Smith - How to Cook - book two - 112,000
Tony Blair - A Journey - 92,000
David Beckham - My Side - 86,000
Paul Burrell - A Royal Duty - 77,000

BARACK OBAMA ASHUSHWA NAMBA MOJA YA LIST YA MOST POWERFULL 2013,VLADIMIR PUTIN AONGOZA

.
forbes
Mtandao maarufu kwa kutoa list mbalimbali ikiwemo ya watu matajiri duniani, wakati huu wametoa list ya watu wenye nguvu sana duniani. Mwaka jana namba moja alikuwa rais wa taifa kubwa dunia Barrack Obama. Mwaka huu mambo yamekuwa tofauti kwa kumuona bwana Obama akishuka kutoka kwenye hiyo nafasi yake.

Watu wengine maarufu waliopo kwenye top five ni  Xi Jinping mwenyekiti wa chama cha kikomunisti cha China,Pope Francis,Angela Merkel kutoka Ujerumani na Vladimir Putin kutoka Russia ambaye ndiyo namba moja akifuatiwa na Barack Obama namba mbili. Untitled

BABU SEYA NA MWANAE PAPII KOCHA WAKATA RUFAA YA KIFUNGO CHA MAISHA JELA.

Babu Seya
Mahakama ya rufani Tanzania imeanza kusikiliza rufaa ya mwanamuziki maarufu Tanzania Nguza Viking (Babu Seya) na mwanae Johnson Nguza (Papii Kocha) ambao wanatumikia kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya ubakaji na ulawiti wa watoto.

Tuesday, 22 October 2013

ASHLEY YOUNG ASHINDWA KUELEWANA NA KOCHA WAKE DAVID MOYES.

Ashley-Young3
Klabu ya Manchester United imetajwa kuwa tayari kusikiliza ofa mbalimbali ziotakazokuja kwa ajili ya winga Ashley Young baada ya mchezaji huyu kushindwa kumridhisha kocha wa United David Moyes ambapo Ashley amekuwa kwenye kiwango cha chini tangu msimu huu ulipoanza na amekuwa moja ya watu wanaolalamikiwa sana na mashabiki wa United kwa kuonyesha kiwango cha chini.
Zaidi ya hapo kocha wa United David Moyes anaonekana kukerwa na tabia ya winga huyu ya kujiangushaangusha akiwadanganya waamuzi ili wampe penalty kama ilivyokuwa kwenye mchezo kati ya United na Crystal Palaca mapema msimu huu.
Manchester United inatarajiwa kufanya usajili mwezi January lakini mpango huo pia utahusisha baadhi ya wachezaji ambao wanatarajiwa kuondoka United ambao orodha yake pia inamjumuisha kiungo wa Japan Shinji Kagawa ambae ameshindwa kuingia kwenye kikosi cha kwanza tangu David Moyes alipoanza kazi kama kocha wa United.
David Moyes

WAAMUZI WA MECHI YA SIMBA NA YANGA WAPEWA ZAWADI YA MILLIONI 1 KWA KUCHEZESHA VIZURI



Makamu wa Pili wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Ramadhan Nassib ametoa sh. milioni moja kwa waamuzi waliochezesha mechi ya Simba na Yanga iliyochezwa wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam.

Sunday, 20 October 2013

LULU AONYESHA USHABIKI WA KWELI,NI BAADA YA MECHI YA SIMBA NA YANGA KUMALIZIKA KWA MAGOLI 3 - 3,


lulu3
Mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ilianzia kwenye mitandao ya kijamii na baada ya mechi mambo yanaendelea kwenye mitandao tena. Muigizaji Lulu ameonyesha waziwazi upande wake anaoshabikia kwa kuandika maneno haya kwenye account yake ya instagram.

BOKO HARAMU WAUA MADEREVA 19 NIGERIA


Mabaki ya magari ya madereva waliouawa na Boko Haram

JUSTIN BIEBER AZIDI KUKOSOLEWA KUTOKANA NA MABADILIKO YA TABIA

Mastaa wengi wa dunia wamewahi kuonekana kwenye matukio ya kuwa karibu na stripper ambapo miongoni mwao ni Ne-yo ambae hiki kitendo kiliwahi kumpa lawama nyingi na sio pongezi, hii ni kutokana na picha waliyokua nayo watu juu yake kwamba ni miongoni mwa mastaa ambao huwezi kuwaona wakichezea hela na kuzirusha kwenye mwili wa stripper." src="http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/10/Stripper-2.jpg" width="480" height="480" /> Mastaa wengi wa dunia wamewahi kuonekana kwenye matukio ya kuwa karibu na stripper ambapo miongoni mwao ni Ne-yo ambae hiki kitendo kiliwahi kumpa lawama nyingi na sio pongezi, hii ni kutokana na picha waliyokua nayo mashabiki  juu yake kwamba ni miongoni mwa mastaa wastaarabu wasiotaka sifa ambao huwezi kuwaona wakichezea hela na kuzirusha kwenye mwili wa stripper
Mastaa wengi wa dunia wamewahi kuonekana kwenye matukio ya kuwa karibu na stripper ambapo miongoni mwao ni Ne-yo ambae hiki kitendo kiliwahi kumpa lawama nyingi na sio pongezi, hii ni kutokana na picha waliyokua nayo mashabiki juu yake kwamba ni miongoni mwa mastaa wastaarabu wasiotaka sifa ambao huwezi kuwaona wakichezea hela na kuzirusha kwenye mwili wa stripper

HII NDIYO HELIKOPTA WALIYOTUMIA MAGAIDI KWENYE SHAMBULIZI LA WESTGATE NCHINI KENYA

Hii sio Helikopta iliyotumika siku ya tukio
Hii sio Helikopta iliyotumika siku ya tukio
Standard Media wametoa taarifa nyingine ambayo inazidi kulipa shambulio la Westgate nguvu ya kuendelea kumiliki vichwa vya habari baada ya kuripoti kwamba Magaidi waliofanya hilo shambulio Nairobi mwezi September walitumia helikopta ambayo inamilikiwa na mwanasiasa maarufu wa zamani nchini Kenya ambae taarifa hii haijamtaja.

Friday, 18 October 2013

MCHEZAJI WA NEWCASTLE UNITED APEWA DILI LA KUIGIZA MOVIE YA X



the-magpies-have-enjoyed-many-exciting-european-nights-including-famous-clashes-with-barcelona-one-of-which-featured-a-certain-tino-asprilla-1354337
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Newcastle United Faustino Asprilla amepwa ofa ya kuigiza filamu za ngono na kampuni moja inayojihusisha na utengenezaji wa filamu hizo nchini Colombia .

Tuesday, 15 October 2013

WANACHUO WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA WAMUENZI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE.

Wanachuo wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha(AJTC) Darasa la SELOUS wamemuenzi Baba wa Taifa MWALIMU JULIAS KAMBARAGE NYERERE kwa kwenda kutembelea hifadhi ya Taifa ya TARANGIRE  pamoja na MESERANI.

Ziara hiyo ni kumbukumbu ya kukumbuka siku ya kifo cha Baba wa Taifaikiwa ni miaka 14 toka afariki dunia tarehe kama ya jana mwaka 1999.


HIZI NI PICHA ZA BAADHI YA MATUKIO YA SAFARI HIYO.                                                                                               Mkufunzi wa Ajtc Madam Verediana

SIR ALEX FURGUSON AZIDI KUTHAMINIWA KWA BARABARA KUPEWA JINA LAKE,,HIZI NDIZO PICHA ZA BARABARA ZENYE JINA LAKE

12
Unaambiwa karibu kabisa na uwanja wa soka unaomilikiwa na club ya Manchester United ndio kuna barabara imepewa jina la Sir Alex Ferguson ambapo imefunguliwa rasmi na imepewa hilo jina kutokana na heshima aliyopewa Sir Alex na Trafford Council kutokana na mchango wake.
Sir Alex ambae ameshinda makombe nearly 40 kwenye miaka 26 aliyofanya kazi na kuwa kocha wa club ya Manchester United, alialikwa pia kwenye hili tukio la kutambulishwa rasmi kwa barabara yenye jina lake ambapo mwanzoni ilikua inaitwa Water’s Reach.
Namkariri Sir Alex akiongea baada ya tukio….. ‘Nilipowasili Old Trafford mwaka 1986 nilikua na idea ndogo kuhusu safari yangu, over quarter of a century later to receive the Freedom of the Borough of Trafford na kuwa na sehemu ya Trafford iliyo na jina langu ni heshima kubwa, nimefurahi na kushukuru’
7
8
Unaambiwa the Honorary Freedom is the highest honour which the council can bestow. Under Section 249 of the Local Government Act 1972 borough councils may admit as Honorary Freemen of the Borough “persons of distinction and persons who have, in the opinion of the Council, rendered eminent services to the Borough”

6Sir Alex na mashabiki wake..
5
4 
Councillor Matt Colledge, leader of the council, said: “Sir Alex has contributed significantly to Trafford over a sustained period of time through his strong leadership of the Manchester United team and it was felt that the Honorary Freeman title and the renaming of the street was a fitting tribute to him.
“Football contributes significantly to the borough through the large number of visitors it attracts and jobs it creates.
“It has been through the success of the team that the club has grown in strength over the years, becoming one of the world’s most successful and renowned clubs.”

3
2
1
Kabla ya kuitwa Sir Alex Ferguson way
Kabla ya kuitwa Sir Alex Ferguson way

KURASA ZA MAGAZETI YA LEO JUMANNE,OCTOBER 15


.
.
.
.
.

Friday, 11 October 2013

RAIS MSTAAFU MHE.MKAPA AZINDUA KAMPENI YA TUSOME TANZANIA (LET US READ TANZANIA CAMPAIGN).

PIX_1_ddeae.jpg
Rais Mstaafu Mhe. Benjamini William Mkapa ambaye pia ni mgeni rasmi akihutubia vijana mbalimbali wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya tusome Tanzania (Let us read Tanzania) aliyoizindua leo katika viwanja vya Makao Makuu ya Maktaba ya Mkoa jijini Dar es Salaam.

BAADA YA KUMUINGIZIA ZAIDI YA MILLIONI 130 NYIMBO YA POMBE YANGU,,MADEE AJA NA NYINGINE TENA;'TEMA MATE TUWACHAPE'


                       NYUMBA YA MADEE
Kila msanii anapotoa single kali kila mmoja anatamani kusikia itakayofata itakuaje? hii inatokea hata kwa Madee ambae ‘Pombe yangu’ ilimpa nguvu ya kutosha kumiliki chati za radio na TV na hata kumpa show za zaidi ya milioni 100.
Time hii naitumia kukualika kusikiliza single yake mpya ya ‘tema mate tuwachape’ ft Richard


WE NI MWANDISHI WA HABARI NA UNGEPENDA KWENDA BRAZIL KURIPOTI KOMBE LA DUNIA - MAOMBI YATAANZA KUPOKELEWA DESEMBA 7



VITAMBULISHO KURIPOTI KOMBE LA DUNIA
Maombi ya vitambulisho kwa waandishi wa habari (Accreditation) wanaotaka kuripoti Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini Brazil kwa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) yataanza kupokelewa kwa mtandao Desemba 7 mwaka huu kupitia akaunti ya FIFA Media Channel.

HATIMAE WAYNE ROONEY AVUNJA UKIMWA JUU YA SIR ALEX FERGUSON, MANCHESTER UNITED

Wakati mashabiki wa Manchester United wakionyhesha kukata tamaa juu ya uwezo wa meneja wao mpya David Moyes baada ya michezo saba ya ligi kuu ya England,nyota wa klabu hiyo Wayne Rooney bado ana imani kocha huyo atafanya vizuri kama akipewa muda wa kutosha.

Rooney amesema hakufurahishwa na majukumu aliyopewa na Ferguson msimu uliopita,amekili sasa kuwa na furaha pale Old Trafford sababu kubwa ni Moyes kumchezesha kwenye nafasi anayoipenda ya ushambuliaji  tofauti na msimu uliopita ambapo alichezeshwa kwenye nafasi ya kiungo.

‘Kila mtu klabuni alikuwa anajua nafasi niliyokuwa naipenda kucheza,sababu ya mimi kukata tamaa ilikuwa ni kulazimishwa kucheza kwenye nafasi ya kiungo,binafsi sikufurahishwa ila ilinilazimu kucheza kwa ajili ya manufaa ya timu,na ilinibidi wakati furani kuwa mbinafsi ili kunusuru maisha yangu'.

Baada ya mwanzo  mzuri sasa nina furaha na nadhani sasa naweza kukaa meza moja na uongozi wa man utd kwa ajili ya kujadili mambo yangu ya baadae

VITU VYA AJABU VYAKAMATWA KWENYE BANDARI YA MOMBASA


112 
Kontena ambalo lilikuwa na vitu vya nyumbani, limekamatwa likiwa na bidhaa nyingi za ajabu kama mafuvu na vitu vingine vya kutisha ambavyo inasemekana huwa vinatumika kwenye ibada za dini za kishetani. Mzigo huo bado unashikiliwa na mamlaka za Kenya na hii hapa audio ya ripoti nzima pamoja na video ya mzigo wenyewe kama ilivyoripotiwa na Citizen TV

KURASA ZA MAGAZETI YA LEO IJUMAA.

.
.
.
.
.
.

Thursday, 10 October 2013

PICHA TOFAUTI ZA MAGARI YANAYOTUMIA NGUVU YA SOLAR POWER.


CHICHARITO ATAJA SABABU KWA NINI ATAONDOKA MAN U

chicha fe087
MSHAMBULIAJI Javier Hernandez amesema anaweza kuondoka Manchester United ili kusaka timu ambayo atapata nafasi ya kudumu kwenye kikosi cha kwanza.

NAKAAYA SUMARI AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME,,NA HII NDIO PICHA YAKE

HII NDIYO TATUU YA LULU

Msanii wa Bongo Movie Tanzania, Elizabeth Michael "Lulu" ameamua kuchora tattoo iliyoandikwa "Only God Can Judge Me" chini ya
shingo upande wa bega lake la kushoto, baada ua kuona watu wamekuwa wakimhukum kwa mambo ayafanyao kulliko Mungu ambae ndie mwenye cheo chake, na kuwataka watu kumuachia jukumu hilo Mungu pekee, na kucha kujipa u-busy usio wa lazima

DIAMOND AKUTANA PICHA YAKE HOTELINI HONGKONG,HIKI NDICHO ALICHOKIFANYA


PICHA ZAWACHEZAJI WA YANGA WALIPOTUA SALAMA MJINI BUKOBA, TAYARI KWA MPAMBAO NA KAGERA SUGAR JUMAMOSI HII


 
Mapema Asubuhi hii Ndege ya Precision Air ikiingia kwenye uwanja wa Ndege wa Bukoba, kuwaleta wachezaji wa Yanga ambao wanatarajia kucheza mchezo wao na Wenyeji Kagera Sugar kesho kutwa Jumamosi.
 
Wachezaji wa Yanga wakishuka, mbele ni Mbuyu Twite wakishuka uwanja wa Ndege Bukoba
 
Nizar Khalfani nae yupo kwenye kikosi
 
Wachezaji wakiendelea kushuka kwenye ndege
T
ayari wamekanyaga Ardhi ya Bukoba
 
Kama kawaida: kushoto ni Khalfan Ngassa kulia ni Niyonzima
 
Picha ya Pamoja Viongozi na wachezaji
 
Dida kushoto akipata picha ya pamoja na wenzake
 
Kocha mkuu wa timu ya Yanga
 
Asante tumefika salama kazi ni moja ...ushindi ni muhimu Kaitaba
 
Niyonzima akiwa na Mdau wake wa bukobasports.com
 
Kelvin Yondani akifurahia baada ya kutua Bukoba asubuhi hii.
 
Bw. Jamal kalumuna kushoto akiwa na kiongozi wa Yanga
Smart Hotel
 
Wachezaji wakiingia Smart Hotel