Tuesday, 11 March 2014

BOFYA HAPA LUTAZAMA PICHA ZAIDI ZA DIAMONDI AKIKAGUA MJENGO WAKE UNAONDELEA KUJENGWA

ddd
Shilole, Madee, Profesa Jay, Young Dee, Afande Sele ni wasanii waliojituma sana kwenye game la Bongo fleva ilikukamilisha nyumba zao na kuhamia. Mpaka sasa Shilole anaendelea kujenga nyumba yake na picha ya mwisho tulionya matengenezo yana karibia kuisha
Well its time na Diamond kumaliza nyumba yake, Hii Picha Nyingine kuhusu ujenzi unaoendelea wa nyumba yake.

No comments:

Post a Comment