Thursday, 13 March 2014

AIJAWAHI TOKEA ,SAMSUNG YAJIPANGA KUGEUZA VIGANJA VYAKO KUWA KEYBORD, NI AJABU KIDOGO....CHEKI HAPA

Hivi karibuni SAMSUNG yajipanga kugeuza viganja vyako kuwa keyboard. Watengenezaji hao wa simu kutoka korea wanatarijia kuanzisha mpizani wa Google mwaka huu.

Katika technologia hiyo Samsung wataanzisha vifaa vya kuvaa machoni ambavyo vitaweza kuvifanya viganja vya watu kuwa Keyboard. Watu watakaokua watakaokua wamevaa miwani kama za Google Glass kwenye kifaa kiitwacho – Galaxy Glass – wataweza kutazama kwenye viganja vyao ambavyo vitachorwa ramani ya keyboard na wataweza kutumia vidole gumba kubofya vitufye wavitakavyo.
 Galaxy Glass itakua akiungana (sync) na smatphone na kuwezesha watumiaji kupiga ama kupokea simu na kuskiliza muziki.Wakati huo huo, kampuni hiyo kubwa zaidi ya
utengenezaji simu duniani,Samsung imeanzisha huduma ya bura ya kustream muziki Milk Music. Huduma hiyo ianpatikana kwenye simu zake za Galaxy nchini Marekani, Ina zaidi ya redio 200 na nyimbo milioni 13

No comments:

Post a Comment