![https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjY6gxTAZZUSPHL0QoyU8FVhQxEt6i30BYuicoKqdU9U7txOrDKZf-L3s2bljIFRg_UZLSMYwM26IDoUce38WsOCV6QiRB-y8jOadGXun0ByKjuq2jgI6F8f-ffoPYSwsP73UkvbMuqYOc/s1600/malysia.png](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjY6gxTAZZUSPHL0QoyU8FVhQxEt6i30BYuicoKqdU9U7txOrDKZf-L3s2bljIFRg_UZLSMYwM26IDoUce38WsOCV6QiRB-y8jOadGXun0ByKjuq2jgI6F8f-ffoPYSwsP73UkvbMuqYOc/s640/malysia.png)
Mganga maarufu nchini humo Ibrahim Mat Zin anayejulikana kama ‘Raja Bomoh Sedunia Nujum VIP’ alifanya tambiko kwenye uwanja wa ndege Kuala Lumpur Jumatatu hii kusaidia kuitafuta ndege hiyo ya MH370. Anadaiwa kuitwa na viongozi wa juu wa serikali.
“Nadhani ndege bado ipo angani ama ilianguka baharini,” alisema Ibrahim Mat Zin
No comments:
Post a Comment