Thursday, 13 March 2014

BREAKING NEWZ! FINYANGO 2 ZA NYAMA ZAPELEKEA UNYAMA WA KUTISHA, JIONEE HAPA


Breaking news Ukatili dhidi ya watoto Mbeya bado ni tishio Baba mzazi amchoma moto mwanae mikono yote miwili baada ya kula finyango mbili za nyama Habari kamili tutawaletea baadae Mbeya yetu blog Wapo kwenye tukio.

No comments:

Post a Comment