Friday, 8 August 2014

GIGSS AIFUNGIA MAN UNITED YA WAKONGWE IKICHAPWA 5-1 NA KITIMU CHA DARAJA LA KWANZA

MKONGWE Ryan Giggs alimtamanisha kocha wake Louis van Gaal baada ya kufunga bao moja magwiji wa Manchester wakifungwa 5-1 na Salford City, timu ambayo kwa sasa anaimiliki kwa pamoja na Paul Scholes, Nicky Butt na Gary na Phil Neville katika mchezo wa hisani uliovutia mashabiki 12,000 Uwanja wa AJ Bell mjini Eccles.
Nyota hao waitwao ‘Class of 92’ pamoja na kunyesha ufundi bao upo, lakini wazlidiwa nguvu na kasi na vijana wadogo wa timu ya Daraja la Kwanza kaskazini. Rio Ferdinand alisafiri kutoka kwenda kuwa kocha Msaieizi, lakini hakuinusuru timu yake ya zamani na kichapo.

Midfield maestro: Paul Scholes keeps his composure in game against the side he now co-owns one year after retiring from professional football
Kiungo Paul Scholes akifanya vitu vyake kwenye mchezo huo

No comments:

Post a Comment