Anabaki Bernabeu: Karim Benzema akiwa ameshika jezi yake namba tisa baada ya kuongeza mkataba Real Madrid
MSHAMBULIAJI
wa kimataifa nwa Ufaransa, Karim Benzema ameongeza mkataba wa kuendelea
kuichezea Real Madrid hadi mwaka 2019 baada ya kukataa kuhamia timu za
Ligi Kuu ya England.
Kulikuwa
kuna tetesi kwamba mpachika mabao huyo wa Ufaransa anaweza kuondoka
klabu hiyo ya Hispania, lakini sasa wazi ataishi Bernabeu hadim mwaka
2019.
Arsenal,
Liverpool na Tottenham Hotspur ni miongoni mwa timu za Ligi Kuu England
zilizokuwa zinamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26.
Hapa ameshika jezi nyingine imeandikwa atakuwa Real Madrid hadi mwaka 2019
No comments:
Post a Comment