Tuesday, 5 August 2014

Ukweli kuhusu wimbo wa Linex: Zitto Kabwe ashiriki kukamilisha lyrics 70%, Adam Juma alipwa pesa ambayo hajawahi kulipwa na msanii yoyote, speech yake yaskika wishoni

Wimbo mpya wa Sunday Mjeda a.k.a Linex unaoitwa Wema kwa Ubaya unaotarajiwa kutoka hivi karibuni pamoja na video yake umetengenezwa na producers watatu akiwemo More Fire ambae alisimamia uingizwaji wa vocals, producer Mona Gangstar ambae yeye alishughulikia mixing na kumaliziwa kwa producer Tuddy  Thomas ambae amefanya mastering. 
Ukiacha hilo lakini katika uandishi wa mashairi yake Mh Zitto Kabwe  ameshiriki kwa asilimia 70 na kuweka speech yake fupi mwisho wa wimbo huo. katika utengenezaji wa video hiyo Linex amefanya video  hiyo na Director Adam Juma ambae anasisitia kuwa hela aliyomlipa hajawahi kulipwa na msanii yoyote Tanzania.....

No comments:

Post a Comment