LOUIS
Van Gaal ametwaa taji la kwanza Manchester United baada ya usiku wa
kuamkia leo kuwachapa mahasimu, Liverpool mabao 3-1 Uwanja wa Sun Life
mjini Miami, Marekani na kubeba Kombe la Kimataifa, michuano ya klabu
kujiandaa na msimu mpya.
Shukrani
kwao, wafungaji wa mabao hayo, Rooney dakika ya 55, Mata 57 na Lingard
88, baada ya Gerrard kutangulia kuwafungia Liverpool kwa penalti dakika
ya 14.
Kikosi
cha Man United kilikuwa; De Gea, Evans/Blackett dk46, Smalling, Jones,
Valencia/Shaw dk9, Herrera/Lingard dk78, Fletcher/Cleverley dk46, Young,
Mata/Kagawa dk68, Rooney na Hernandez/Nani dk68.
Liverpool;
Mignolet, Kelly, Johnson, Skrtel, Sakho/Toure dk74, Gerrard/Lucas dk62,
Allen/Ibe dk62, Henderson, Coutinho/Peterson dk77, Lambert/Can dk62 na
Sterling.
No comments:
Post a Comment