Thursday, 19 June 2014

BALOTELLI ATAKA BUSU LA MALKIA AKIIBAKIZA ENGLAND KOMBE LA DUNIA... NI IWAPO ITALIA ITAIFUNGA COSTA RICA LEO

MATUMAINI ya England kufuzu Raundi ya Pili ya Kombe la Dunia jana yalingia kiza kufuatia kuchapwa mabao 2-1 na Uruguay katika mchezo wa Kundi D.
Roy Hodgson na wachezaji lazima waombe dunia Italia iifunge Costa Rica leo ili kuihakikishia Three Lions kuendelea kuwapo katika michuano.
Na mshambuliaji wa Azzurri, Mario Balotelli ametoa ombi moja tu, kwamba atahitaji busu laini la Malkia iwapo wataifunga Costa Rica!
Shavuni: Mario Balotelli amesema anatarajia bush la Malkia iwapo Italia itaifunga Costa Rica
Cheeky: Mario Balotelli says he expects a kiss of the Queen if Italy beat Costa Rica on Friday
Not his type... The Queen attends Ladies Day at Royal Ascot on Friday... hours before England's defeat
Siyo saws yake... Malkia akiwa amehudhuria Siku ya Wanawake attends Ladies Day at Royal Ascot Ijumaa iliyopita, saa kadhaa kabla ya kipigo cha England kutoka kwa Italia

Ametweet: "Ikiwa tutaifunga Costa Rica nataka bush  wazi shavuni, kutoka kwa Malkia wa Uingereza,".
Balotelli alifunga bao la ushindi wakati Italia inaifunga England wiki iliyopita na ataongoza tena safu ya ushambuliaji Recife.
Iwapo vijana wa Cesare Prandelli watabeba pointi nyingine tatu, England watalazimika kuifunga Costa Rica Jumanne katika mchezo wao wa mwisho wa kundi hilo na waombe tena Italy iifunge na Uruguay usiku huo huo ili kutinga 16 Bora.

No comments:

Post a Comment