Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘ THT’ , Amini Mwinyimkuu
amefunguka kuwa , aliamua kufunga ndoa ya fasta ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani .
Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT ’ , Amini Mwinyimkuu .
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni ,
amefunguka kuwa , aliamua kufunga ndoa ya fasta ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani .
Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT ’ , Amini Mwinyimkuu .
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni ,
Amini ambaye amemuoa binti
aitwaye Farida Bashiri alisema ilikuwa vigumu kufanya sherehe kubwa
kwani lengo lilikuwa ni kumuingiza ndani haraka mke huyo ili amuandalie
futari pia .
“Ni kweli nilioa juzi pale Magomeni Mwembechai , ilikuwa ni ndoa tu na niliamua kufanya hivyo ili kuuwahi mwezi Mtukufu wa Ramadhani , ” alisema Amini ambaye ndoa ilimbadili jina kwa kufungishwa kwa jina la Namini kufuata mambo ya kinyota .
“Ni kweli nilioa juzi pale Magomeni Mwembechai , ilikuwa ni ndoa tu na niliamua kufanya hivyo ili kuuwahi mwezi Mtukufu wa Ramadhani , ” alisema Amini ambaye ndoa ilimbadili jina kwa kufungishwa kwa jina la Namini kufuata mambo ya kinyota .
No comments:
Post a Comment