Ona hapa: Chiellini akionyesha sehemu ambayo aling'atwa na meno na Suarez
MSHAMBULIAJI
Luis Suarez anakabiliwa na adhabu kali baada ya nyota huyo wa Liverpool
kumng'ata beki wa Italia, Giorgio Chiellini began jana Uruguay
ikishinda 1-0 katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Dunia nchini
Brazil.
Kwa
mara ya tatu akifanya kosa la ajabu kihistoria, mchzaji huyo mwenye
umri wa miaka 27 alinaswa na kamera akimtia meno mchezaji mwenzake
begani.
Hata
hivyo, baada ya mechi hodari huyo wa kufunga mabao alijitetea akisema:
"Hayo mambo yanatokea ndani ya boksi. Tulikuwa tunapambana, kifua dhidi
ya bega nami nikapata pigo jichoni,".
Chiellini
kwa upande wake amesema: "Suarez amefanya hivyo na anaweza kuepuka
adhabu kwa sababu FIFA inataka nyota wake wabaki katika Kombe la Dunia.
Ningependa kuona wanatumia video ya ushahidi dhidi yake. Refa aliona
alama ya kung'atwa, pia, lakini hakufanya lolote juu ya hili,".
FIFA imesema itachunguza tukio hilo leo baada ya refa wa Mexico, Marco Rodriguez kutona wakati linatokea.
Bodi
hiyo ya soka duniani hapana shaka itamchukulia hatua kali Suarez,
ikizingatia makosa yake ya kihistoria ya utovu wa nidhamu.
Wana
nguvu ya kumfungia hadi miaka miwili kama wataona inastahili. Inaweza
kuwa Suarez atafungiwa mecnhi kadhaa, ambazo zitamfanya awe amemaliza
kucheza Kombe la Dunia mwaka huu, Uruguay ikiwa imefuzu 16 Bora baada ya
kuitoa Italia.![Hot water: Luis Suarez clutches his teeth after appearing to bite Giorgio Chiellini](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/06/24/article-2667441-1F16FA3D00000578-269_634x419.jpg)
![Hot water: Luis Suarez clutches his teeth after appearing to bite Giorgio Chiellini](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/06/24/article-2667441-1F16FA3D00000578-269_634x419.jpg)
Maji moto: Luis Suarez akisafisha meno yake baada ya kumng'ata Giorgio Chiellini
Picha
za bega la beki Chiellini zinaoneysha dhahiri alama ya meno baada ya
Mtaliano huyo kuteremsha jezi yake kuonyesha ushahidi wa tukio hilo.
KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل
ReplyDeleteKAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل
KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.الالله صلى الله عليه وسلموعليكوتهله صلى الل