MWANAMUZIKI
Jennifer Lopez hataimba limbo maalum wa Kombe la Dunia sambamba na
wasanii wenzake nyota, Pitbull na Claudia Leitte katika sherehe za
ufunguzi wa michuano hiyo Brazil, taarifa ya FIFA imesema jana.
Bodi
hiyo ya soka duniani imesema Lopez hataimba Alhamisi wiki hii kama
ilivyopangwa awali kutokana na sababu za kitaalamu ambazo hazikutajwa.
Wawakilishi wa mwimbaji huyo hawajasema sababu ya Lopez kutoweza kuungana na wenzake.
No comments:
Post a Comment