Wednesday, 4 June 2014

SAMIR NASRI HANA HABARI NA KOMBE KLA DUNIA


Kwa raha zake: Kiungo wa kimataifa wa Ufaransa, Samir Nasri aliyetemwa kwenye kikosi cha timu hiyo cha Kombe la Dunia, akiwa anastarehe na mpenzi wake. Wengi wamestaajabishwa na kitendo cha kocha Didier Deschamps kutomchukua kiungo huyo wa Manchester City kwa sababu yuko juu hivi sasa na alitoa mchango mkubwa klabu yake kutwaa ubingwa wa England.

No comments:

Post a Comment