Evans Elieza Aveva amefanikiwa
kumshinda mpinzani wake
Andrew Tupa na kuweka rekodi ya
kuwa kiongozi wa kwanza wa
Simba Sports Club wa ngazi ya
juu kuliko zote kutumia jina la
Rais.
Pia mashabiki wa Geofrey Nyange 'Kaburu'
aliyekuwa anagombea makamu wa rais nao
wameanza kushangilia wakionyesha wamepata
matokeo kwamba amewashinda akina Sued
Nkwabi na Jamhuri Kiwhelo 'Julio'.
Aveva amemshinda Tupa kwa
idadi kubwa ya kura katika
uchaguzi uliofanyika leo kwenye
Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa
Polisi Oysterbay jijini Dar es
Salaam.
Mara baada ya Aveva
kutangazwa mshindi, cheleko
kutoka kwa wafuasi wake
zilianza.
Sunday, 29 June 2014
BREAKING NEWS..Huyu ndiye rais wa kwanza wa simba sports club na makamu wake waliochaguliwa hivi punde..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment