Friday, 27 June 2014

Huu ni mwisho wa Dunia zaidi ya ndoa 115 za jinsia moja zafungishwa kwa wakati mmoja angalia hapa Picha&video


Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto, Canada.
 Ndoa hizo zimefungwa kwa pamoja na kuwakutanisha wapenzi wa jinsia moja kutoka maeneo mbalimbali duniani kusherekea nguvu ya mapenzi yao. Meya wa Toronto Norm Kelly amesema wanandoa hao wamekutana na kufurahia hatua hiyo muhimu ya kufunga pingu za maisha.
Takribani nchi 15 duniani sasa zimeruhusu mapenzi ya jinsia moja .
 

No comments:

Post a Comment