Tuesday, 24 June 2014

UMEME WAKATIKA MAENEO MENGI NCHINI WAKATI WABUNGE WAKIPIGA KURA KUIPITISHA BAJETI KUU YA SERIKALI

Kitendo cha umeme kukatika maeneo mengi nchini Tanzania wakati wabunge wakipiga kura kuipitisha bajeti kuu fedha yaserilali ya mwaka 2014/2015.

Je ?? Kuna nini kimejificha hapo Na mpaka matangazo ya Tbc 1 Kule bungeni yamekatika...Hii ndio Tanzania yetu

No comments:

Post a Comment