Sunday, 29 June 2014

BREAKING NEWS..Huyu ndiye rais wa kwanza wa simba sports club na makamu wake waliochaguliwa hivi punde..

Evans Elieza Aveva amefanikiwa
kumshinda mpinzani wake
Andrew Tupa na kuweka rekodi ya
kuwa kiongozi wa kwanza wa
Simba Sports Club wa ngazi ya
juu kuliko zote kutumia jina la
Rais.
Pia mashabiki wa Geofrey Nyange 'Kaburu'
aliyekuwa anagombea makamu wa rais nao
wameanza kushangilia wakionyesha wamepata
matokeo kwamba amewashinda akina Sued
Nkwabi na Jamhuri Kiwhelo 'Julio'.
Aveva amemshinda Tupa kwa
idadi kubwa ya kura katika
uchaguzi uliofanyika leo kwenye
Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa
Polisi Oysterbay jijini Dar es
Salaam.
Mara baada ya Aveva
kutangazwa mshindi, cheleko
kutoka kwa wafuasi wake
zilianza.

Saturday, 28 June 2014

TAZAMA VIDEO YA ADAM MCHOMVU NA DJ FETTY WALIVYOSHINDWANA STUDIO KWA AJILI YA WIMBO WA Ben Pol "Upendo"..JIONEE MTAFARUKO HUO

Wimbo mpya wa Ben Pol waleta mtafaruku kati ya Adam Mchomvu na Fetty

Baada ya kuutambulisha wimbo mpya wa Ben Pol "Upendo" exclusive kupitia kipindi cha XXL kinachoendeshwa na B12, Fetty na Adam Mchomvu, kumetokea na ubishani kati ya Adam na Fetty juu ya wimbo huo ambao unamuonekano tofauti na jinsi alivyozoeleka Ben Pol
Huku Fetty akiusifia na kuona ni wimbo wenye tofauti nzuri ambao una mahadhi ya bolingo na hata kusema ni fusion zinazotakiwa

SALIM KIKEKE KUTOKA BBC LONDON,,KING MAJUTO,,ELIZABETH MICHAEL(LULU) MILLARD AYO NA WENGINE WENGI WATAMBA KATIKA TUZO ZA WATU WANAOPENDWA...JIONEE JINSI TUZO ZILIVYOTOLEWA.

King Majuto akifurahi mara baada ya kupokea Tuzo yake mara baada ya kutangazwa mshindi wa Kipengele cha Msanii Bora anayependwa wa Kiume.

Friday, 27 June 2014

DAALAL: AVEVA NDIYE KIBOKO YA YANGA, MPENI SIMBA SC MLE RAHA

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Simba, Hassan Daalal, amewataka wanachama wa klabu hiyo wampe kura Evans Aveva kwa sababu ndio kiboko ya Yanga. 
Dalali amewaambia wanachama wa Simba Wilaya ya Kinondoni waliohudhuria katika mkutano wa kampeni uliofanyika jioni hii kwenye ukumbi wa Urafiki Hall, Ubungo.

Alisema kuwa wanachama wakimchagua Aveva basi watafurahi msimu mzima kama mgombea huyo alipokuwa anaongoza kamati ya usajili ya klabu hiyo.
Mzee Daalal amewomba wana Simba wamchague Aveva

MSANII HUYU WA BONGO FLEVA AAMUA KUFUNGUKA BAADA YA KUFUNGA NDOA YA KIMYA KIMYA NA SIRI KUBWA...!!

Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘ THT’ , Amini Mwinyimkuu
amefunguka kuwa , aliamua kufunga ndoa ya fasta ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani .
Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT ’ , Amini Mwinyimkuu .

ANGALIA HII VIDEO YA NDOA 115 ZA WATU WA JINSIA ZILIVYOKUA ZIKIFUNGISHWA NA MAMBO WALIYOKUA WANAFANYA

Huu ni mwisho wa Dunia zaidi ya ndoa 115 za jinsia moja zafungishwa kwa wakati mmoja angalia hapa Picha&video


Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto, Canada.

LUKE SHAW AKAMILISHA MANUNITED NA KUKABIDHIWA UZI,AHAKIKISHIWA KUMUWEKABENCHI EVRA


Mambo safi: Luke Shaw akiwa ameshika jezi ya Man United baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 31.5
 BEKI wa kimataifa wa England, Luke Shaw amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 31.5 kutua Manchester United kwa mkataba wa miaka minne kupiga kazi Old Trafford.

Thursday, 26 June 2014

HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho
wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United
akitokea Athletic Bilbao.
Klabu hiyo ya La Liga ilikataa ofa ya timu hiyo
ya kocha Louis van Gaal, lakini baada ya
mchezaji huyo kufuzu vipimo vya afya Carrington
jana, dili hilo limekamilishwa.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24 sasa
anakuwa mchezaji wa kwanza kabisa kusajiliwa
na Man United chini ya kocha mpya, van Gaal
aliyerithi mikoba ya David Moyes Old Trafford.

Wednesday, 25 June 2014

NGASSA AULA AFRIKA KUSINI, FREE STATE STARS WAFIKA BEI, WAHAHA KUMNG’OA YANGA SC

MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Mrisho Khlafan Ngassa amefuzu majaribio baada ya siku moja tu katika klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini, ambayo sasa inafanya utaratibu wa kumnunua. Ngassa aliondoka jana asubuhi Dar es Salaam na jioni ya jana akafanya mazoezi na klabu hiyo na moja kwa moja akakubalika.

Tuesday, 24 June 2014

Shilingi Mil 60 Kumaliza Mgogoro wa Flora Mbasha, Vikao Vyafanyika Siku Tatu, Flora Akataa Ndoa Mara Tano.

Stori: Haruni Sanchawa na Shakoor Jongo

HABARI zilizotua kwenye meza ya Uwazi juzi zinadai kuwa familia mbili, ya Emmanuel na Flora Mbasha zimeweka kikao kwa siku tatu mfululizo kutaka kuinusuru ndoa ya wawili hao lakini imeshindikana huku pembeni ikidaiwa kwamba ili mambo yakae sawa lazima Mbasha alipe shilingi milioni 60.

NYOTA WA KWANZA KUSAJILIWA NA VAN GAAL MAN UNITED AWEZA KUWA HUYU HAPA

Anakuja: Ander Herrera anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Louis van Gaal Manchester United kwa Pauni Milioni 28.4
 KIUNGO Ander Herrera anakaribia kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na kocha mpya wa Manchester United ya England, Louis van Gaal kwa dau la Pauni Milioni 28.4.

Kilichojiri kwenye mechi za Ivory Coast vs Ugiriki na Japan vs Colombia

20140625-073450-27290496.jpg
Matumaini ya bara la Afrika kuingiza timu kwenye hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la dunia yameanza kupotea.
Wakicheza mchezo wao muhimu na wa mwisho, Ivory Coast ilikubali kipigo kutoka kwa Ugiriki katika mchezo ulioisha kwa kufungwa 2-1.

Uamuzi wa kocha wa Italy baada ya timu yake kutolewa kombe la dunia – huu hapa

20140625-080553-29153617.jpg
Muda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.
Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.
Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.

HIVI NDIVYO SUAREZ ALIVYOMFANYA BEKI WA ITALIA KWA KUMPIGA JINO BEGANI, FIFA KUMPA ADHABU KALI

Ona hapa: Chiellini akionyesha sehemu ambayo aling'atwa na meno na Suarez
 MSHAMBULIAJI Luis Suarez anakabiliwa na adhabu kali baada ya nyota huyo wa Liverpool kumng'ata beki wa Italia, Giorgio Chiellini began jana Uruguay ikishinda 1-0 katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Dunia nchini Brazil.
Kwa mara ya tatu akifanya kosa la ajabu kihistoria, mchzaji huyo mwenye umri wa miaka 27 alinaswa na kamera akimtia meno mchezaji mwenzake begani.

UMEME WAKATIKA MAENEO MENGI NCHINI WAKATI WABUNGE WAKIPIGA KURA KUIPITISHA BAJETI KUU YA SERIKALI

Kitendo cha umeme kukatika maeneo mengi nchini Tanzania wakati wabunge wakipiga kura kuipitisha bajeti kuu fedha yaserilali ya mwaka 2014/2015.

Je ?? Kuna nini kimejificha hapo Na mpaka matangazo ya Tbc 1 Kule bungeni yamekatika...Hii ndio Tanzania yetu

Monday, 23 June 2014

KIPRE TCHETCHE ‘ALIVYOTUA YANGA LEO’...


MSHAMBULIAJI Kipre Herman Tchetche leo amezima uzushi kwamba yuko kwenye mpango wa kuhamia Yanga SC, baada ya kuibukia kwenye mazoezi ya timu yake, Azam FC.
Nyota huyo kutoka Ivory Coast aliwasili jana Dar es Salaam kutoka kwao Abidjan alipokwenda kwa mapumziko baada ya msimu na asubuhi ya leo akaibuka mazoezini Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

Friday, 20 June 2014

IVORY COAST WASHUSHA PUMZI SARE UGIRIKI NA JAPAN, ILA LAZIMA WASHINDE MECHI YA MWISHO

Nenda nje: Kostas Katsouranis wa Ugiriki (katikati) akitolewa nje kwa kadi nyekundu, baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dhidi ya Japan usiku wa kuamkia leo
 SARE ya bila kufungana kati ya Japan na Ugiriki usikua wa kuamkia leo imeongeza matumaini ya Ivory Coast kuingia 16 Bora ya Kombe la Dunia kutoka Kundi C.

ZIARA YA AFRIKA NUSU IMTOE MACHOZI MOURINHO, ATOA MANENO HAYO YA KUCHOMA MOYO KABISA

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho anafikiri no vyema Chama cha Soka England (FA) kikatumia fedha inazokuanya kwa kuwatoza faini wachezaji, klabu na makocha nchini humo kwa kuchangia miradi ya hisani.
Kuliko kwenda kuangalia Kombe la Dunia nchini, Mourinho amezuru nchini Ivory Coast kuwatembelea watoto wenye njaa na waathirika wa ukimwi kama Balozi wa Umoja wa Mataifa wa Shirika la Chakula.

Ukweli Kuhusu Tetesi za Lady Jay Dee Kuomba Msamaha kwa Ruge wa Clouds FM

Judith Daines Wambura Mbibo, known as Lady Jaydee  a Tanzania  R&B/Zouk/Kwaito singer ,
Denial a rumors that she apology Ruge Mutahaba….. These fiction was written on Gazeti  la Udaku…. Today On her Instagram  account she posted the Gazeti font page pic and she wrote

Thursday, 19 June 2014

BALOTELLI ATAKA BUSU LA MALKIA AKIIBAKIZA ENGLAND KOMBE LA DUNIA... NI IWAPO ITALIA ITAIFUNGA COSTA RICA LEO

MATUMAINI ya England kufuzu Raundi ya Pili ya Kombe la Dunia jana yalingia kiza kufuatia kuchapwa mabao 2-1 na Uruguay katika mchezo wa Kundi D.
Roy Hodgson na wachezaji lazima waombe dunia Italia iifunge Costa Rica leo ili kuihakikishia Three Lions kuendelea kuwapo katika michuano.

Marekani yaiwekea vikwazo Uganda


Marekani kuinyima Jeshi na Polisi wa Uganda ufadhili
Marekani imeiwekea Uganda vikwazo kwa kupitisha sheria zinazopinga mapenzi ya jinsi moja katika taifa hilo la Mashariki ya Afrika.

Mzee wa Upako Anamvua nguo GWAJIMA Hadharani

Kasema Gwajima anafanya hadaa kwa wafuasi wake, kasema kama kweli anafufua misukule, mbona hafufui watu wanaofahamika?
Hafufui baba na mama zetu, hafufui majirani zetu, anafufua tusio wajua?

Gwajima mzee wa HUMMER3 na wafuasi wake mna lolote la kuoangea?

LICHA YA BABA YAKE KUFARIKI SAA MBILI KABLA YA MECHI NA COLOMBIA, KIUNGO IVORY COAST AONYESHA UZALENDO WA KUCHEZA KOMBE LA DUNIA

Huzuni: Kiungo wa Ivory Coast, Serey Die akimwaga machozi wakati wimbo wa taifa wa nchi yake unachezwa

MWANASOKA wa kimataifa wa Ivory Coast, Serey Die leo ameonyesha uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yake baada ya kuichezea dhidi ya Colombia licha ya taarifa za msiba wa baba yake mzazi saa mbili kabla ya mechi.
Kiungo huyo mwenye kipaji alianza kulia wakati wimbo wa taifa wa Ivory Coast unachezwa kabla ya mchezo huo wa Kundi C game, ambao timu yake ililala 2-1.
Wengi walidhani Die alimwaga machozi kwa sababu ya kufikiria ugumu

Wednesday, 18 June 2014

MAAJABU YA MBWA KUSHANGILIA KOMBE LA DUNIA..CHEKI HII VIDEO HAPA

Lowasa Atangaza Neema Kwa Vijana


Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500 waliojitokeza hivi karibuni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara kuwa bomu la ajira litalipuka muda wowote.

MARADONA ACHAMBUA KOMBE LA DUNIA, ASEMA "MULLER HANA MISULI, PEPE 'BWEGE BWEGE' NA HISPANIA BADO INA NAFASI, RONALDO ABADILISHE UCHEZAJI"

SHUJAA wa Argentina na Kombe la Dunia, Diego Maradona anafikiri mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller 'hana misuli' lakini alijitahidi kuisambaratisha Ureno na akamponda Pepe alipewa kadi nyekundu ya 'kibwege'.
Pepe alipewa kadi nyekundu baada ya kumvaa Muller akiwa chini na kuanza kumpa mikwara uso kwa iso akiwa kama anampiga kichwa, jambo ambalo lilimfanya refa Milorad Mazic kumtoa nje, na kumsaidia mshambuliaji huyo wa Ujerumani kuongoza katika mbio za ufungaji bora.
Hiyo ilitosha kwa Ujerumani kuwa na mwanzo mzuri na Ureno kuanza vibaya na Maradona anajaribu kuelezea tathmini yake katika mechi za mwaka huu.

Mshindi wa Kombe la Dunia: Diego Maradona aliiongoza Argentina kushinda Kombe la Dunia mwaka 1986 na ana yake ya kusema juu ya michuano ya 2014 

MPYA KABISA.. RATIBA YA MECHI ZA EPL MSIMU WA 2014/2015..JUA HAPA TIMU YQKO ITAANZA NA TIMU GANI


Mechi za kwanza katika wiki ya Agosti 16
Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham Unit
Mechi za kwanza katika wiki ya Agosti 16
Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham Unit

Monday, 16 June 2014

HABARI NJEMA KWA MASHABIKI WA URENO..RONALDO YUKO FITI KUWAVAA UJERUMANI LEO.


MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo
amesema kwamba yuko fiti kuwakabili Ujerumani
katika mchezo wa kwanza wa Kundi G Kombe la
Duani leo.
Mshambuliaji huyo wa Real Madrid amekuwa
akisumbuliwa na matatizo ya goti lakini
amesema yupo tayari kwa mchezo wa leo mjini
Salvador.
"Wazi, ningeopenda kuwa fiti kwa asilimia 110-
nipo fiti kwa asilimia 100 na hiyo inatosha
kuisaidia timu ya taifa. Nimekuwa nikifanya
mazoezi kwa siku nyingi na ninajisikia vizuri.
Haujawahi kutokea wakati katika maisha yangu
ya soka nikacheza bila kuwa na maumivu, huo ni
mzigo,"

Sunday, 15 June 2014

MESSI AING'ARISHA ARGENTINA IKIUA 2-1 KWA MBINDE KOMBE LA DUNIA

ARGENTINA imeanza vyema Kombe la Dunia
baada ya usiku huu kuilaza Bosnia-Herzegovina
mabao 2-1 katika mchezo wa Kundi Kombe la
Dunia Uwanja wa Maracana mjini Rio de
Janeiro, Brazil.
Shukrani kwake Mwanasoka bora wa zamani wa
dunia, mshambuliaji wa Barcelona ya Hispania,
Lionel Messi aliyefunga bao la pili la Argentina
dakika ya 65 akimalizia pasi ya Gonzalo Higuain.
Sead Kolasinac aijifunga dakika ya tatu katika
harakati za kuokoa kuipatia Argentina bao la
kwanza kabla ya Vedad Ibisevic kutumia pasi ya
Senad Lulic kuisawazishia Bosnia dakika ya 84.
Kikosi cha Argentina kilikuwa; Romero,
Campagnaro/Gago dk45, Fernandez, Garay,
Zabaleta, Maxi Rodriguez/Higuain dk45,
Mascherano, Di Maria, Rojo, Messi na Aguero/
Biglia dk86.
Bosnia-Herzegovina; Begovic, Mujdza/Ibisevic
dk70, Bicakcic, Spahic, Kolasinac, Besic,
Hajrovic/Visca dk72, Pjanic, Misimovic/
Medunjanin dk74, Lulic na Dzeko.

BENZEMA APIGA MBILI UFARANSA IKIUA 3-0 KOMBE LA DUNIA

SHERIA ya teknolojia langoni hatimaye leo
imetumika kikamilifu kumaliza utata wa bao
Ufaransa ikiitandika mabao 3-0 Honduras katika
mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Karim
Benzema amefunga mabao mawili mjini Porto
Alegre dakika za 45 kwa penalti na 72, wakati
bao lingine Noel Valladares alijifunga dakika ya
48 na kulazimika sheria ya teknolojia kwenye
mstari wa goli kutumika ili kuhakikisha kama
lilikuwa bao halali.
Wilson Palacios wa Honduras alionyeshwa kadi
ya pili ya njano na kuwa nyekundu baada ya
kumsukuma Paul Pogba kwenye boksi na
Benzema akafungwa kwa penalti.
Kikosi cha Ufaransa kilikuwa; Lloris, Debuchy,
Varane, Sakho, Evra, Pogba/Sissoko dk57,
Cabaye/Mavuba dk65, Matuidi, Valbuena/Giroud
dk78, Benzema na Griezmann.
Honduras: Valladares, Beckeles, Bernardez/
Osman Chavez dk46, Figueroa, Izaguirre, Najar/
Claros dk58, Wilson Palacios, Garrido, Espinoza,
Bengtson/Boniek Garcia dk46 na Costly.

RATIBA KAMILI YA KOMBE LA DUNIA KWA MECHI ZINAZOENDELEA KWA SAA ZA AFRICA MASHARIKI


Fixtures

G June 16 19:00 Germany vs Portugal ? - ?
F June 16 22:00 Iran vs Nigeria ? - ?
G June 17 01:00 Ghana vs USA ? - ?
H June 17 19:00 Belgium vs Algeria ? - ?
A June 17 22:00 Brazil vs Mexico ? - ?
H June 18 01:00 Russia vs South Korea ? - ?
B June 18 19:00 Australia vs Netherlands ? - ?
B June 18 22:00 Spain vs Chile ? - ?
A June 19 01:00 Cameroon vs Croatia ? - ?
C June 19 19:00 Colombia vs Ivory Coast ? - ?
D June 19 22:00 Uruguay vs England ? - ?
C June 20 01:00 Japan vs Greece ? - ?
D June 20 19:00 Italy vs Costa Rica ? - ?
E June 20 22:00 Switzerland vs France ? - ?
E June 21 01:00 Honduras vs Ecuador ? - ?
F June 21 19:00 Argentina vs Iran ? - ?
G June 21 22:00 Germany vs Ghana ? - ?
F June 22 01:00 Nigeria vs Bosnia-Herzegovina ? - ?
H June 22 19:00 Belgium vs Russia ? - ?
H June 22 22:00 South Korea vs Algeria ? - ?
G June 23 01:00 USA vs Portugal ? - ?
B June 23 19:00 Australia vs Spain ? - ?
B June 23 19:00 Netherlands vs Chile ? - ?
A June 23 23:00 Cameroon vs Brazil ? - ?
A June 23 23:00 Croatia vs Mexico ? - ?
D June 24 19:00 Costa Rica vs England ? - ?
D June 24 19:00 Italy vs Uruguay ? - ?
C June 24 23:00 Greece vs Ivory Coast ? - ?
C June 24 23:00 Japan vs Colombia ? - ?
F June 25 19:00 Bosnia-Herzegovina vs Iran ? - ?
F June 25 19:00 Nigeria vs Argentina ? - ?
E June 25 23:00 Ecuador vs France ? - ?
E June 25 23:00 Honduras vs Switzerland ? - ?
G June 26 19:00 Portugal vs Ghana ? - ?
G June 26 19:00 USA vs Germany ? - ?
H June 26 23:00 Algeria vs Russia ? - ?
H June 26 23:00 South Korea vs Belgium ? - ?
R16 June 28 19:00 1A vs 2B ? - ?
R16 June 28 23:00 1C vs 2D ? - ?
R16 June 29 19:00 1B vs 2A ? - ?
R16 June 29 23:00 1D vs 2C ? - ?
R16 June 30 19:00 1E vs 2F ? - ?
R16 June 30 23:00 1G vs 2H ? - ?
R16 July 1 19:00 1F vs 2E ? - ?
R16 July 1 23:00 1H vs 2G ? - ?
QF1 July 4 19:00 Winner 1E/2F vs Winner 1G/2H ? - ?
QF2 July 4 23:00 Winner 1A/2B vs Winner 1C/2D ? - ?
QF3 July 5 19:00 Winner 1F/2E vs Winner 1H/2G ? - ?
QF4 July 5 23:00 Winner 1B/2A vs Winner 1D/2C ? - ?
SF1 July 8 23:00 Winner QF 1 vs Winner QF 2 ? - ?
SF2 July 9 23:00 Winner QF 3 vs Winner QF 4 ? - ?
3rd July 12 23:00 Loser SF 1 vs Loser SF 2 ? - ?
Fn July 13 22:00 Winner SF 1 vs Winner SF 2 ? - ?
Fn Final
3rd Third place play-off
SF Semi-finals
QF Quarter-finals
R16 Round of last 16

WEMA Anasa Mimba ya DIAMOND…Diamond Apagawa Kwa Furaha

‘Beautiful Onyinye’ na kipenzi cha Diamond,
Wema Sepetu sasa ni mjamzito. Baada ya
misukosuko ya muda mrefu ikiwemo
kuporwa na wasichana wenzake penzi lake
la Diamond, sasa Wema amepata kile
alichokuwa akikililia kwa muda mrefu….
Chanzo cha habari hii kutoka kwa marafiki
wa Diamond kimedai kuwa Wema amenasa
ujauzito na kugundulika hivyo walipokuwa
Afrika Kusini kwenye tuzo za MTV-MAMA
na kumfanya Diamond achanganyikiwe kwa
furaha….
Kwa mujibu wa chanzo hicho, inadaiwa kuwa
Diamond kwa sasa kawa kama mtu
aliyepagawa kwa furaha kutokana na taarifa
hizo njema na tayari ameshaanza maandalizi
ya kijacho chake….
Kugundulika kwa ujauzito wa Wema ni
baada ya kuanza kujisikia vibaya
walipokuwa Afrika Kusini ikiwemo
kichefuchefu na kizunguzungu alipokuwa
hotelini alipofikia na kulazimika kwenda
hospitali kwa uchunguzi zaidi….
Inasemekana kuwa Wema alisindikizwa na
Aunt Ezekiel kwenda hospitalini waliyekuwa
naye huko Afrika Kusini kumpa sapoti
Diamond na madaktari ndiyo waliomjuza
kuwa anakiumbe tumboni cha wiki 7
Taarifa za madaktari hao zilimfanya Wema
awe kama mwehu aliyepagawa na kurudi
hotelini kwa mumewe Diamond huku akiwa
na tabasamu ambalo hapo awali Diamond
hakuwahi kuliona….
Inasemekana kuwa mpaka sasa siyo
Diamond wala Wema aliyewaambia

MALINZI ASIMAMISHA UCHAGUZI SIMBA SC

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF)
limesimamisha mchakato wa uchaguzi wa klabu
ya Simba SC hadi hapo klabu hiyo itakapounda
Kamati ya Maadili ambayo itasikiliza masuala ya
kimaadili kuelekea uchaguzi huo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari makao
makuu ya TFF, katikati ya Jiji la Dar es Salaam
mchana wa leo, rais wa TFF, Jamal Emil Malinzi
amesema kwamba Simba SC inatakiwa kuwa
imekwishaunda Kamati ya Maadili hadi kufika
Juni 30, mwaka huu.
Malinzi amesema kwamba hatua hiyo imefuatia
TFF kupokea malalamiko mengi juu ya ukiukwaji
wa maadili kwa baadhi ya wagombea na
wanachama wa klabu hiyo.
Malinzi amesema kwamba baada ya kuundwa
kwa Kamati hiyo Maadili itasikiliza malalamiko
yote ya kimaadili yanayougubika mchakato wa
udhaguzi huo, ambao awali ulipangwa kufanyika
Juni 29, mwaka huu.
Malinzi amesema kwamba kwa sasa Kamati ya
Utendaji ya Simba SC iliyopo madarakani chini
ya Mwenyeiiti wake, Alhaj Ismail Aden Rage
itaendelea kuiongoza klabu hiyo hadi hapo
mchakato wa uchaguzi utakapokamilika.

RAGE: TUMEPATA FEDHA ZA KUJENGA UWANJA, NATAKA KUWEKA REKODI SIMBA, NAACHA MILIONI 300 ZA USAJILI, KABLA SIJAONDOKA NAJENGA GHOROFA MOJA YA HOSTELI BUNJU

UCHAGUZI ni habari kubwa
kwasasa katika klabu ya
Simba, lakini kuna maisha
mengine yanaendelea ikiwemo
utekelezaji wa mpango wa
kujenga uwanja wa kisasa
katika eneo la Bunju, jijini Dar
es salaam.
Mtandao huu jana iliripoti
kuwa uongozi wa Simba sc
umepelekea magereda na
malori ambayo kwa kutwa
nzima yalikuwa yanafanya kazi
ya kuondoa udongo mweusi
uliopo eneo hilo na kuweka
udongo mpya utakaofaa
kuotesha nyasi za uwanja.
Jitihada za kuwatafuta
viongozi wa Simba zilifanywa
ili kupata ufafanuzi juu ya
suala hilo na mtandao huu
umejitahidi kumtafuta rais wa
Simba anayemaliza muda
wake, Ismail Aden Rage ili
kutoa ufafanuzi wa zoezi hilo
na pesa zimepatikana wapi
wakati huu Simba ikitarajia
kufanya uchaguzi juni 29
mwaka huu.
Kuna watu walihusianisha
mpango huo na kampeni
kuelekea uchaguzi. Kuna
wagombea fulani (majina
tunayo) walikuwa
wanahusishwa na kutoa fedha
hizo ili kujisafishia njia, lakini
halikuwa jibu sahihi na ikabidi
Rage asakwe ili atoe maelezo.
Katika mahojiano yake na
mtandao huu, Rage amesema
sasa wameshaanza mambo
baada ya kupata fedha mahali
fulani (hakutaka kutaja) na
suala la wanachama kwenda
na majembe, mapanga
wameacha.
“Uko katika hatua nzuri kuna
kitu ambacho wataalamu wa
udongo wanaita, wametoa ule
udongo mweusi, wameanza
kuweka udongo ambao utafaa
kupandia nyasi za uwanja”.
Alisema Rage.
‘Na kama unakumbuka mara
ya kwanza tulipoanza
kukarabati au kuujenga,
tuliwaomba wanachama,
wakaenda na mapanga na
majembe.”
“Sasa tumeacha, kwasababu
tulipata pesa mahali fulani,
sasa kuna magereda na malori
yanafanya kazi ya kutoa huo
mchanga ambao haufai na
kuweka mchanga unaofaa kwa
kuotesha nyasi”. Aliongeza
Rage.
Rais huyo aliyekuwa na
mvutano mkali na wanachama
wa Simba pamoja na viongozi
wenzake wakati wa uongozi
wake alisema ndani ya siku
chache zijazo watawakaribisha
waandishi wa habari ili
wakapige picha, waone uwanja
ulivyokuwa mzuri,
ulivyopendaze na hatua nzuri
ambazo wanazo.
Hata hivyo, Rage alisema
wamechoshwa na kutumia
gharama kubwa za kuweka
kambi Hotelini, hivyo anataka
kujenga Hosteli za wachezaji
kabla hajakabidhi madaraka
kwa uongozi mpya.
“Lakini ninafanya vilevile
mpango, kwasababu tunatumia
gharama nyingi sana
kuwaweka wachezaji wetu
Hotelini wakati tunapofanya
kambi”.
“kwasababu eneo hilo ni zuri,
tunataka ikiwezekana kabla
sijaondoka, angalau nipate
michoro au niweze kuweka
msingi au ghorofa moja
ikibidi, tujenge hosteli katika
muda huu mfupi uliobaki”.
Alisema Rage.
Kuhusu usajili, Rage alisema
anataka kuweka rekodi
ambayo haijawahi kutokea
Simba ambapo atawaachia
viongozi wajao kitita kirefu
cha pesa, si chini ya milioni
300 kwa ajili ya usajili.
“Sasa hiyo nawaachia viongozi
wajao ambao ninakusudia
kuweka rekodi ambayo
haijatokea Simba tangu miaka
yote, kwa maana ya kwamba
nitakapoondoka mimi
nitawaachia pesa za wao
kufanya usajili si chini ya
milioni 300 watazikuta pale
klabu”.
“Sivyo kama mimi nilipoingia
sikukuta hata shilingi moja
nilikuta madeni basi, hiyo
ndiyo nataka niweke tofauti
yangu mimi ambaye
ninaithamini klabu yangu hii”.
Alieleza Rage.
Nako upande wa pili,
mwenyekiti wa klabu hiyo,
Yusuf Manji ameongezewa
muda wa mwaka mmoja na
wanachama wa Yanga ili
kukamilisha baadhi ya ahadi
zake ikiwemo ujenzi wa uwanja
wa kisasa maeneo ya
Jangwani.
Hatua za Simba zinaweza
kumshitua na akaongeza kasi.
Simba na Yanga ni klabu
kongwe ambazo hazina hata
uwanja wa mazoezi.
Azam fc ni klabu pekee yenye
uwanja wake wenye ubora wa
kimataifa uliopo Mbande,
chamazi, nje kidogo ya jiji la
Dar es salaam.
Mbeya City fc ambao
wameshiriki kwa mara ya
kwanza ligi kuu msimu
uliopita, wana mpango wa
kujenga uwanja wao maeneo
ya Iwambi jijini Mbeya.

Thursday, 12 June 2014

RONALDO AUMIA TENA LEO, ALIFANYA MAZOEZI DAKIKA 20 TU HALAFU...

Bado majeruhi: Ronaldo akiondoka mazoezini akiwa amefungwa barafu leo Brazil
 MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo ameba hofu upya ndani ya kikosi cha Ureno kuelekea mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Dunia dhidi ya Ujerumani baada ya leo kutoka uwanjani mazoezini akiwa amefungwa barafu kwenye goti.

Waganga wa Kutibu Kwa Kutumia Ngono na Nguo za Ndani Wakamatwa Temeke

POLISI Mkoa wa Temeke, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambayo masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.

HIVI NDIVYO JENNIFER LOPEZ ALIVYOPAGAWISHA UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA


Mwanamuziki J-Lo akipagawisha mashabiki wakati wa sherehe za ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia 2014 kabla ya mchezo wa kwanza wa Kundi A baina ya Brazil na Croatia usiku huu Uwanja wa Corintias mjini Sao Paulo.

Mazito Yaibuka Siku 14 George Tyson Bado Hajazikwa

KAMA huna taarifa, habarika sasa kwamba, mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) aliyefariki dunia Mei 30, mwaka huu kwa ajali mbaya ya gari nchini Tanzania na kusafirishwa kwao,Kenya bado haujazikwa huku mazito yakiibuka kuhusiana na msiba huo!

MMILIKI WA BLOGG HII ATABIRI BRAZIL KUSHIND 3 kwa 1..NA HIVI NDIVYO ILIVYOKUA NEYMAR ALIPOANZA KWA KASI.


MWANZO mzuri kwa Neymar akifunga mabao mawili usiku huu, wenyeji Brazil wakianza vyema Fainali za Kombe ka Dunia kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya Croatia Uwanja wa Corinthias, mjini Sao Paulo. Croatia waliotawala sehemu ya kiungo, waliuanza vizuri mchezo na kufanikiwa kupata bao la kuongoza dakika ya 11. Sifa zimuendee Olic aliyepiga krosi nzuri kwa Nikica Jelavic na katika harakati za kuokoa, Marcelo wa Brazil aliutumbukiza mpira kwenye lango lake.
Mwanzo mzuri; Neymar amefunga mabao mawili Brazil ikishinda 3-1 dhidi ya Croatia usiku huu

Wednesday, 11 June 2014

Jennifer Lopez kutumbuiza katika ufunguzi Kombe La Dunia Brazil kesho

Ufunguzi rasmi wa fainali za kombe la dunia nchini Brazil unatarajiwa kufanyika kesho Alhamisi (June 12),


Jennifer Lopez anatarajiwa kuungana na rapper Pitbull pamoja na Claudia Leitte
kutumbuiza wimbo rasmi wa kombe la dunia katika sherehe hizo.Pamoja na FIFA mapema wiki hii kutangaza kuwa Lopez

MDADA ALIYEONEKANA KATIKA PICHA NA KOMBA AFUNGUKA, AZIMIA...MCHEKI HAPA

SIKU chache zimekatika baada ya tukio la kusambaa mitandaoni kwa picha tata zenye pozi kati ya mheshimiwa Komba na mrembo aliyejulikana kwa jina moja la Angel.

RONALDO AITUMIA SALAMU DUNIA NZIMA "NIMERUDI", APIGA BONGE LA SOKA JANA URENO IKIUA 5-2

ILIMCHUKU sekunde 52 Cristiano Ronaldo kuithibitishia dunia kwama amepona na yuko fiti kwa Fainali za Kombe la Dunia wakati Ureno ikiitandika Jamhuri ya Irelando mabao 5-1 jana katika mchezo wa kirsfiki Uwanja wa MetLife.

KUTOKA BUNGENI,,WEMA NA DIAMOND KUCHUKULIWA HATUA JUU YA PICHA CHAFU MTANDAONI..JIONEE

Sakata la mastaa wakiwemo Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupiga picha chafu kisha kuzitundika mitandaoni limetinga bungeni baada ya juzikati baadhi ya wabunge kulishupalia.
Mastaa Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakiwa kwenye pozi la kimahaba

Monday, 9 June 2014

BAADA YA DIAMOND KUKOSA TUZO: INSTAGRAM KWA CHAFUKA.....DIVA AJITOA TEAM WEMA!!

Daah hii ni NOUMA sana...Kama mnavyojua, Msanii wetu hapa 255,  Diamond hakufanikiwa kupata TUZO  za MTVmamaAWARD hapo jana  huko South Africa. (Sio mbaya sana kushiriki tu kwangu Diamond ni ushindi)

HATIMAYE CAMEROON WAENDA BRAZIL BAADA YA MZOZO WA POSHO KUINGILIWA KATI NA SERIKALI

Yamekwisha: Wachezaji wa Cameroon walitarajiwa kuondoka usiku wa jana kwenda Brazil
 KIKOSI cha Cameroon kilitarajiwa kuondoka jana usiku mjini Younde kuelekea Brazil baada ya kutatuliwa kwa mgogoro wa posho zao. Waziri Adoum Garoua alisema jana “Kila mmoja yuko tayari kuondoka Saa 3:30 (usiku wa jana) kwenda Brazil. Kila kitu kimefafanuliwa. Hakuna matatizo zaidi,”.

Sir Alex Ferguson afichua siri ya mafanikio yake Manchester United

Kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson ameibuka na kudai kuwa kutokuwa na huruma kwake ndiko kulikomfanya akaipatia mafanikio United.
Kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson ameibuka na kudai kuwa kutokuwa na huruma kwake ndiko kulikomfanya akaipatia mafanikio United.

JENNIFER LOPEZ AJITOA SHEREHE ZA UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA, FIFA YATHIBITISHA HATAIMBA ALHAMISI

Kwenye kipaza: Jennifer Lopez amejitoa kwenye sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia
 MWANAMUZIKI Jennifer Lopez hataimba limbo maalum wa Kombe la Dunia sambamba na wasanii wenzake nyota, Pitbull na Claudia Leitte katika sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo Brazil, taarifa ya FIFA imesema jana.

Friday, 6 June 2014

KUTANA NA KIATU CHA OMMY DIMPOZ KICHOSEMEKANA KIMETENGENEZWA KWA DHAHABU!!

Huyu ndiye Ommy dimpoz a.k.a Poz kwa Poz, Siku chache zilizopicha Ommy alikuwa Nchini Uingereza akimsindikiza Rafiki yake Diamond Plat kwaajili ya kufanya Video yake na Iyanya. Kama ilivyo anda ya kamera Yetu kunasa matukio, Kamera imenasa miguuni mwa Ommy akiwa amevalia Viatu mithili kama vimetengenezwa na Dhahabu,.Ommy-Dimpoz-590x590
Na hii inatokana na mambo kuanza kumuendea Supa Ommy kwa kukamata Madili ya Pesa nyingi, kupelekea kumiliki Vitu vya Gharama zaidi.

Wazungu waleta kitu kipya..Hiki ndichokipindi cha TV kinachoonyesha Wanawake wanaojifungulia porini.

birth
Kampuni ya Lifetime ya nchini Marekani imetangaza kipindi kipya cha Televisheni kitakachoonyesha wazazi vijana wakijifungua porini bila msaada wa madaktari wakati wa hatua zote za kujifungua lakini pia hawatakuwa na malazi yoyote katika eneo hilo.

Huyu ndiye Chatu wa ajabu aliyeuwawa Arusha Mchana wa June 05,kuna picha zake 5 hapa.

CHA1

Wiki chache zilizopita wakazi wa Kinondoni walimuua Mamba ambaye alikua akiishi karibu na bwawa maeneo ya Kinondoni block 41 na ni baada ya kuchoshwa nae wakaamua kumuua,sasa baada ya mamba hapa kuna stori ya Chatu aliyeuwawa Arusha.

HILI NDILO BONGE LA DILI ALILOPEWA DIAMOND NA RAIS JK,,,SASA KUJULIKANA ZAIDI DUNIANI KAMA P,SQUAER.

Hii ni bahati ya mtende kuota jangwani! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete anatajwa rais pekee anayetoa sapoti kwa wasanii ambapo safari hii amempa ulaji staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Ishu hiyo ilitokea mwanzoni mwa wiki baada ya kukutana jijini New York, Marekani huku kila mmoja akiwa na majukumu yake kwenye ardhi hiyo ya Rais Barrack Obama.

Demu Wa Young Killer Msodoki Aamua Kupiga Picha Za Mitego Kuwaonyesha Mashabiki Alivyobarikiwa..Cheki Hapa



Baada ya kugeuza noti za buku 10 kuwa shuka mrembo wa rapper wa ‘Mrs Supastaa’ Young Killer aitwaye Halimaty ameendelea kumake headlines kwa picha zake kwenye mtandao wa

Sintah Ampa Pole Capt. Komba Kwa Kuchafuliwa na Picha Fake

"Kwakweli watu wakikuamulia wamekuamulia aisee, picha hizi ni za uzushi na zimetengenezwa wabataka kumchafua Mh Komba, hivi uko chumbani na baby wake wewe uvae khabga yeye awe na

HIVI NDIVYO STAA BALOTELLI ALIVYOTUA NDANI YA RIO..ILE KISEEELA!

Kachaa ndani ya suti: Mshambuliaji wa Italia, Mario Balotelli akiwasili mjini Rio de Jeneiro, Brazil na timu yake ya taiga ya Italia tayari kwa Fainali za Kombe la Dunia

TAIFA STARS YA MART NOOIJ KUINGIA KAMBINI JUNI 11

1 
Na Boniface Wambura, TFF
Kikosi cha Taifa Stars kinaingia tena kambini Jumatano (Juni 11 mwaka huu) ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika dhidi ya Msumbiji itakayochezwa Julai 20 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Thursday, 5 June 2014

HUYU NDIYE KIJANA ALIYEPOTEA KWA MAZINGIRA YA KUTATANISHA,,APATIKANA AKIWA KATIKA HALI YA KUTISHA.

Kijana mmoja mkazi wa kijiji cha Nyambogo wilayani Rorya mkoani Mara, ambaye anadaiwa kupotea nyumbani kwa imani za kishirikina hatimaye amepatikana huku akiwa katika hali ya kutisha bila kujitambua na mwili wake ukiwa umejaa tope jingi, tukio ambalo limevuta mamia ya wananchi wa kijiji hicho http://bit.ly/1rOrEk1
Kijana mmoja mkazi wa kijiji cha Nyambogo wilayani Rorya mkoani Mara, ambaye anadaiwa kupotea nyumbani kwa imani za kishirikina hatimaye amepatikana huku akiwa katika hali ya

PIGO UHOLANZI, VAN PERSIE AUMIA, SASA DAKTARI KUAMUA HATIMA YAKE KOMBE LA DUNIA

MSHAMBULIAJI wa Uholanzi, Robin Van Persie sasa atatakiwa kumuona daktari baada ya kuumia nyonga akiichezea timu yake hiyo jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wales mjini Amsterdam.

Wednesday, 4 June 2014

MAKUBWA: HILI NDILO BALAA LILILOMKUTA HUYU DADA BAADA YA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA MAKALIO


Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Shilole na Ney wa mitego walipotajwa bungeni.


Screen Shot 2014-06-04 at 12.20.00 PM
Wema na Aunt Ezekiel
Kutoka Dodoma  kabla ya kujadiliwa kwa bajeti ya wizara ya afya na ustawi wa jamii ilianza sehemu ya maswali na majibu kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa nne.

RIBERY BADO HATIHATI KUCHEZA KOMBE LA DUNIA, VIJANA WAWILI WAANDALIWA KUCHUKUWA NAFASI YAKE

NYOTA wa Ufaransa, Frank Ribery bado yupo kwenye hatihati ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia katokana na kutokuwa fiti kiasi cha kutosha, ingawa kwa vyovyote Samir Nasri hawezi kuchukuliwa kuziba pengo lake hata akienguliwa kikosini.

SAMIR NASRI HANA HABARI NA KOMBE KLA DUNIA


Kwa raha zake: Kiungo wa kimataifa wa Ufaransa, Samir Nasri aliyetemwa kwenye kikosi cha timu hiyo cha Kombe la Dunia, akiwa anastarehe na mpenzi wake. Wengi wamestaajabishwa na kitendo cha kocha Didier Deschamps kutomchukua kiungo huyo wa Manchester City kwa sababu yuko juu hivi sasa na alitoa mchango mkubwa klabu yake kutwaa ubingwa wa England.

NICKI MINAJ AWAONESHA MASHABIKI MATITI YAKE

DIAMOND AWAPAGAWISHA WAMAREKANI KWA SHOW YA HATARI,,WALINZI WASHINDWA KUWAZUIA MASHABIKI..JIONEE PICHA MPAKA WALI

       Pamona na show kuchelewa kuanza na club kufungwa mapema wakazi wa NY.NJ walipata show kali kutoka kwa mkali huyo wa Bongo Flava