Monday, 12 May 2014

BARCELONA YALAZIMISHWA 0-0 NA MESSI UWANJANI

Balaa gain hili: Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika kichwa baada ya timu take kulazimishwa safe ya bila kufungana na Elche usiku huu. Barcelona inaendelea kushika nafasi ya pili kwa points zake 86 za mechi 37, nyuma ya Atletico yenye pointi 89 za mechi 37 pia, wakati Real yenye 84 za mechi 37 ya tatu.

No comments:

Post a Comment