Sunday, 11 May 2014

HATARI SANA! MAN CITY WAINYUKA 2-0 WEST HAM NA KUTWAA UBINGWA EPL..LIVERPOO L UKAME WA BILA KOMBE WAFIKIA MIAKA 25

Jumping for joy: Vincent Kompany wheels away in celebration after securing the Barclays Premier League title
KLABU ya Manchester City imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu soka nchini England baada ya kufanikiwa kuwafunga West Ham mabao 2-0 katika uwanja wa nyumbani wa Etihad.
Wanaume wa Manuel Pellegrini walijua wazi kuwa ushindi katika mechi hiyo utawapatia ubingwa wa pili ndani ya misimu mitatu bila kujali matokeo ya Liverpool dhidi ya Newcastle.

 Samir Nasri alikuwa wa kwanza kuifungia Man City bao la kuongoza katika dakika ya 6` tu ya mchezo huo uliovuta hisia za mashabiki wengi wa soka duniani.

Bao la pili la Man City lilifungwa dakika ya 49` kupitia kwa nahodha wake Vicent Kompany na kuihakikishia  City ubingwa wa EPL.
Liverpool walitoka nyuma kwa bao 1-0 na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Newcastle, lakini ushindi wa Man City umewafanya washindwe kukata kiu ya kutotwaa ubingwa kwa miaka 24, sasa imefikia 25.
We've done it: Vincent Kompany is mobbed after scoring his side's second goal to secure the Premier League
Party time: Vincent Kompany sends the Etihad crowd wild after scoring Manchester City's second of the day
Blue is the colour: Samir Nasri celebrates with Pablo Zabaleta as Manchester City win the title
Challenge: Andy Carroll attempts  to snatch the ball off Manchester City captain Vincent Kompany
Battle: Joe Hart jumps highest to collect the ball under a challenge from West Ham's Kevin Nolan
On target: Samir Nasri opened the scoring for Manchester City just six minutes before the interval
Rousing reception: Manchester City fans welcome their team on to the pitch for their clash against West Ham
Kikosi cha Man City leo: Jart, Zabaleta, Kolarov, Toure, Kompany, Demichelis, Silva (Milner, 76), Garcia, Dzeko (Fernandinho, 69), Aguero, Nasri.
Kikosi cha West Ham: Adrian, O’Brien, McCartney, Taylor, Tomkins, Reid, Downing, Noble, Carrol (Cole, 72), Nolan (Jarvis, 64), Diane (Cole, 81) .
Mwamuzi: Martin Atkinson. MATOKEO YA MECHI ZOTE EPL

No comments:

Post a Comment